Islam and politics in Tanzania

Mkuu Mwafrika hawa mujahidina wanazaliwa na akili nzuri, taabu inaanza pale wanapojiunga na madrassa.

Yaani nakuambia yule Boko Haram (haramu) anaweza kuwa afadhali kuliko hawa mujahidina wetu. Nakuhakikishia kuwa kama kungekuwa na kiwanda cha kuwageuza rangi wawe waarabu basi ungewaona wote wamejipanga huko tayari kwa surgery.
 
We cannot talk of any Muslim development because the colonial status quo still persists. The ratio of Muslim joining higher institutions of learning trails behind Christians 1:10. In desperation Muslims have opened up their own schools but all of them are poorly organised and equipped.
The fact is this ratio is not based on religious groups but rather QUALIFICATIONS to join the institutions. Remember christians had their schools since long time ago, but unfortunately they were forcefully taken by government. Can you imagine what would have hapened if the government would have taken muslim schools...??? Despite this, christians have continued to establish more schools and as a result, they are always leading when it comes to exams results. I think one of the reasons is that christians are well organised when it comes to the following;

1. Cash management
Wakristu wapo wazi kwenye mapato na matumizi ya fedha, Hela inayopatikana (iwe kwa kuuza waraka, sadaka, miradi etc) ni mali ya kanisa, si ya askofu, kasisi, mchungaji etc

2. assets management
Mali za kanisani za wakristu wote kwa ujumla na si za mtu mmoja mmoja. majengo ya makanisa huwa yanafuata process nyingi za kisheria kabla ya kufikia kujengwa. Ndiyo maana ni mara chache sana kukuta kanisa limebomolewa kwa kupisha utility service yoyote ile iwe barabara, umeme n.k. Wakristu hawa hawatumii makanisa kama sehemu ya kupigia story. Hivi sasa nenda misikitini, utakuwakuta waislamu wengi wapo msikitini lakini hakuna wanachofanya zaidi ya kupiga story tu.

IT DOES NOT GET IN MY HEAD THAT MTU MMOJA AU WACHACHE WAMEWEZA KUUZA KILE KIWANJA ALICHONUNUA MANJI, NA WENGINE MJE MGUNDUE MIAKA KADHAA BAADAYE......... hii inaonyesha jinsi ambavyo hamzijui assets zenu.

QUESTIONS
- WHOM DO YOU WANT TO ORGANISE MUSLIM SCHOOLS...???? They are poorly organised simply because owners themselves are not organised.
- WHOM DO YOU WANT TO EQUIP MUSLIM SCHOOLS...???? Muslim schools are poorly equipped due to the fact that owners are not serious with what facilities they want to see in their schools.
 
Guys stop urguing and start building your nation. Any dialogue that does not lead people to fight for their development is evil and has evil roots which originated from no other person but the author. Please come out with something more palusible, this one is mchemko, it shows thay you dont know the history.
you would better discuss issues like globalization which is a threat not only to islam and muslims but to all in all areas of our lives at all times, be careful men.
 
Kuelezwa facts siyo "complain" hiyo ni facts. shule zilizotaifishwa hazikuwa za kanisa tu mpaka za kiislamu. isitoshe baada ya kutaifishwa ndio "ubaguzi na uhuni wa mt. nyerere ulipoanza kwa kuweka mapdre wizara ya elimu to select only christians....
waislamu walishasoma kabla ya nyerere wewe dogo acha mapepe soma historia wazee wetu walikuwa wakijua kiarabu kuandika na kusoma, na kiswahili kabla huyo kibaraka wenu kutoka musoma hajafika kuharibu nchi nzuri ya Tanzania na kubandikiza (UDINI hapa) hasa ukatoliki..hili balaa

Hivi unaweza ukaniambia kwa nini JK aliyashukuru makanisa kwa kusoma seminari za kikristu....???? Unajuwa makamba amesoma wapi...???? Unajuwa Salim A. Salim kasoma wapi....????? Naomba unitajie shule za kiislamu zilizotaifishwa. Naomba unitajie mkristu aliyesoma enzi hizo katika shule za kiislam. Taja hao waislam waliosoma kabla ya Nyerere walisoma shule gani.....?????? HIVI KUJUWA KIARABU KULIWASAIDIA NINI KATIKA UCHUMI WA TZ.

NASHANGAA UNAPOZUNGUMZIA KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA........ Hivi unamaanisha elimu ya watu wazima au.........!!!!!!!!!!!! Hilo si mtoto wa darasa la pili analijuwa..........????? Au unamaanisha kwa waislam KUJUWA kiarabu, kuandika na kusoma INATOSHA..??????
 
People who believe in this rubbish are simply of low intellect or in denial.. WATCH this..

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=EQLD59fK_Iw&feature=related[/ame]


After watching this video and cross-checking all the stated facts and finding them to be accurate...... ask yourself whether it is possible to have a coincidence of this scale (maybe the devil did it..lol).. Let our religion be Tanzania and Africa and 4get about all that other nonsense..
 
Kuelezwa facts siyo "complain" hiyo ni facts. shule zilizotaifishwa hazikuwa za kanisa tu mpaka za kiislamu. isitoshe baada ya kutaifishwa ndio "ubaguzi na uhuni wa mt. nyerere ulipoanza kwa kuweka mapdre wizara ya elimu to select only christians....
waislamu walishasoma kabla ya nyerere wewe dogo acha mapepe soma historia wazee wetu walikuwa wakijua kiarabu kuandika na kusoma, na kiswahili kabla huyo kibaraka wenu kutoka musoma hajafika kuharibu nchi nzuri ya Tanzania na kubandikiza (UDINI hapa) hasa ukatoliki..hili balaa

Ama Kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Ni muisilamu gani alifaulu shule akazuiwa kuendelea na masomo ya juu?
Hiyo wizara ya elimu unayodai ilijaa mapadre ulitaka nani akae huko na wakati nyie wenyewe mlikua mnajua tu kiarabu na kuhesabu?
Kujua kiarabu na kuhesabu ndio elimu unayoizungumzia? Unataka mtu akishajua kiarabu na kuhesabu ndo umpe kuongoza wizara? au kutibu watu hospitalini? Au kufundisha vyuo? Acha kuongea vitu visivyokua na kichwa wala mkia.
it is a fact kwamba mlikua hamjasoma na mpaka sasa bado hamjajirekebisha mnaendeleza fikra zile zile za kutokuona umuhimu wa elimu.

Waisilamu wenzenu wote waliosoma vizuri wali excell vizuri na hakuna aliewazuia waliobakia hawakuona umuhimu wa elimu, wasimlaumu mtu.

Acha kumlaumu Nyerere he tried his best to help you. Mlikua tu vichwa ngumu.

Acha Kulaumu Ukoloni maana bila huo tungekuwa nyuma mno kielimu. Waarabu walikaa hapa Tanganyika miaka lukuki lakini hamna maendeleo yeyote ya maana ya kielimu waliyoleta.
These are facts you cannot deny them. Acheni kulaumu watu wengine the problem is you and you alone look at the trend across the globe in this link http://haifadiarist.blogspot.com/2008/09/why-are-muslims-powerless.html


Just a piece of advice, Your future depends on decisions you make now, if you choose to embrace ignorance you will reap enough poverty but if you embrace knowledge your will reap the fruits of knowledge. The choice is yours you can start with your children now and make their better future.

Stop whining it won't help you. Do something! Ebo!!!!!
 
Waislamu sijui mna matatizo gani......yani bila kuongelea udini wa ..oh...tunaonewa....oh.....hatujasoma kama wakristu... hivi huwa hamuwezi kufukiria kufanya kitu kingine cha maendeleo??

Hizo kanzu na suruali za kuishia kwenye magoti hazita wafikisha popote!!!! Na anaye wapa kiburi cha kuendeleza mijadala isiyo na tija ni Iran.......i wish US could strike iran na kuisambaratisha kabisa make inaleta shida.
 
akina boko haram wa bongo bwana........ah mpaka inatia kinyaa. Huu mjadala hauna tija, hivi yule mzenji aliyekifungoni US hajanyongwa bado au??
 
Mimi nimeshindwa pa kuanzia kwa kweli .Kulalama huku kila mara lakini sikushangai . Nina waona wakimbizi wengi toka Nchi za kiisalam wamejazana ulaya wanapata kila kitu na hata the freedom to warship lakini utasikia bado wanatoka mtaani wanaanza kulalamika na kusema Uislam uenee wakati kule Uarabu umewashinda.Tufike mahali tukae kimya tuangalie nini faida ya madai ya aina hii na kashfa na kama vinaweza kuwapa hicho wakitakacho . Ni aibu sana na inashangaza , wanapinfwa wakristo na kuitwa majina kila siku , lakini ndiyo wao wanao wapa Elimu waislam na kufanya nao kazi kila siku na kila kukicha na si Uislam wala waarabu hao. Waandishi hapa wanao tukatana wengi wao hawako Uarabuni , hapana wako Ulaya lakini yet wanadiriki kusema haya. Huku ni kukata mti ukiwa juu yake .
 
Mkuu Mwafrika hawa mujahidina wanazaliwa na akili nzuri, taabu inaanza pale wanapojiunga na madrassa.

Mkuu Unadhani wana tatizo upstairs? Hawana tatizo lolote upstairs, wakizingatia shule wana excell vizuri tu bila shida, tatizo lao kubwa ni kushindwa ku-prioritize. Wanatilia maanani kujifunza makorokocho ambayo hayawasaidii chochote kimaisha halafu wanapojikuta wanabaki nyuma kimaendeleo wanaanza kumtafuta mchawi aliesababisha wabakie nyuma.


It is high time they should give their children eduction, a chance in life instead of filling their heads with crazy stuff which do not help them.

Though this is hard for them to swallow but it is the only way, they need to be told the truth and the truth shall set them Free from poverty and backwardness.
 
Who sent you? Bila shaka kuna ajenda mahsusi ya kueneza uongo wenu wa historia ya Uislam Tanzania kia siku kwani hizi mada za Uislam zimezidi na kila mara ni wanachama wapya wanazilbandika. Wote mmetumwa nyie!
wewe Mwanachama Mpya umetumwa na Pengo?
 
Waislam bana, yani wao ni kulalamika tu. Shule hawataki, wao ni MAD-R'ASSA,

Hivi wanafikiri hiyo Mad-r'assa inayofundishwa na maustaadh itawapa kitu kweli?

Kama kuna watu hapa duniani wanoa juwa na mabingwa wa kulalama ni hawa wafuasi wa alla.
 
Back
Top Bottom