mzanganyika
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 257
- 6
Wakristu hawana sala ya kumwombea mwenzio mabaya (kifo) VS waislam wana swala (albadili) ya kumwombea mwenzio mabaya (kifo)
Msamehe mwenzio saba mara sabini VS Jino kwa jino
Ufe mwenyewe kwa kutetea imani ya dini VS uwa wenzio kwa kutetea imani ya dini.
We are certainly not worshipping the same God so it makes no sense whatsoever to claim that there is no difference between worshippers of Allah and worshippers of Jesus
NJaona umeshindwa ku handle true teachings of the 2 religions na umeamua kuleta uzushi.
Katika Uislamu aliyedhulumiwa anayo haki ya kumshtakia Mungu, ukristo unasema aliyekupiga shavu moja mpe la pili, sasa hapo unamsaidia nani kama sio kuendekeza dhulma.
Kuhusu kuuwa kwa sababu ya dini nadhani hujui historia ya Ukristu na waliyofanya in Europe and Americas. Ungejua usingelketa hiyo hoja.
Jibu hii basi ama kana na sema ni uzushi.
Ukristo unaruhusu kubadilisha Biblia na sasa hivi munakuja na 'gender neutral Bible', yaani neno la Mungu hubadilishwa.Waislamu hawabadilishi kitabu chao, kiko preserved kama kilivyo. Hapo je, can u really handle the truth?