Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,073
- 304
My Take
Matatizo ya muungano, hayajaanzia, na wala hayataweza kuishia kwa ishu ya Mafuta na vitu vingine kama hvo
Muungano wetu hauwezi kuwa justified or rather unjustified simply kwa kujua hati za muungano baba zetu kina Karume na Nyerere waliandika nini......
Muungano ulioifanya Tanzania, na ambao hadi leo unaifanya Tanzania is more than that, it more than a socio economic union, its emotional, cultural and traditio if yiu want to call it, sijui mnajua ni watanzania wangap wako interconnected na pande hizi mbili?, kwao wao Muungano or whatsoever doesnt count anything to them, Mfipa wa huku niliko, in this matter, Watanzania zaidi ya asilimia 90 kuwepo au kutokuwepo kwa muungano kwao si ishu.
Mtizamo wangu unabaki palepale, economic hardship ndizo ambazo zinatufikisha hapa, katika familia, mama kama alizoeshwa kupata kitenge kila mwez kipya, basi baba asipoleta mama lazima atasingizia cchhte kile, iwe nyumba ndogo, au wadogo wa mme wake (shemeji au mawifi) kuwa ndio wanao mpoteza mapenz kwa mke, bila kuangalia kuwa huenda kwa sasa baba hana tena safar ambazo zilimfanya awe anapata nights na ku serve vitenge, same applies, hali ngumu ya maisha ndiyo ambayo wooote inatufanya tufikie hapa, inawafanya wa znz wafikir matatizo yao ya kiuchum n matokeo ya kuuungana na tz, partly inaweza kua n sbb, lakin in a large extent inaweza kua si kwel. Ndicho ambacho tutakija kukiona siku tukiwa na East Africa Fedaration, trust me, hali ikija kua ngumu tutaona shida si uchumi wa dunia kuyumba, bali ni yule mkenya ambaye tuko naye oficn na ni kama vile ana 'kubania' ww ku make pesa.
From the security point of view, Znz is a LIABILITY kwa usalama wa taifa letu, same applies kwa usalama wao wenyewe,kama wauunguja na wapemba, kwa mznz ambaye ni visionary, kwa mtz ambaye ni visionary, they ARE MORE SAFE KUWA KTK MUUNGANO KULIKO KUWA NJE YA MUUNGANO, same applies kwa sisi as a nation. Ni somo pana, ni ngumu kulielewa kwa haraka.
Tukubali, hakuna muungano ambao umekuwa smooth, wenzangu ambao mmetembea zaidi mtatusaidia kwa hili, iwe ni kwa UK au sehemu zingine, point ya msingi ni kwa jinsi gan wameweza ku move on, ku settle tofaut zao bila ku jeopradize security ya nchi zao.
Mwisho, kama umeshawai fika znz, unguja na pemba, ukaona ni jinsia gan hawa jamaa wana mitizamo juu ya wao wenyewe (wapemba na waaunguja), ndio utagundua, tatizo is more serious, huenda si hati za muungano, huenda si hati za muungano, ni zaidi ya hilo, and this will be just a beginning (refer to Mwalimu Speech on Muungano), may be jamaa wale wa usalama can smelll and analyse this very rational.
Muungano kwa faida ya nani?, THINK BIG.....!
Matatizo ya muungano, hayajaanzia, na wala hayataweza kuishia kwa ishu ya Mafuta na vitu vingine kama hvo
Muungano wetu hauwezi kuwa justified or rather unjustified simply kwa kujua hati za muungano baba zetu kina Karume na Nyerere waliandika nini......
Muungano ulioifanya Tanzania, na ambao hadi leo unaifanya Tanzania is more than that, it more than a socio economic union, its emotional, cultural and traditio if yiu want to call it, sijui mnajua ni watanzania wangap wako interconnected na pande hizi mbili?, kwao wao Muungano or whatsoever doesnt count anything to them, Mfipa wa huku niliko, in this matter, Watanzania zaidi ya asilimia 90 kuwepo au kutokuwepo kwa muungano kwao si ishu.
Mtizamo wangu unabaki palepale, economic hardship ndizo ambazo zinatufikisha hapa, katika familia, mama kama alizoeshwa kupata kitenge kila mwez kipya, basi baba asipoleta mama lazima atasingizia cchhte kile, iwe nyumba ndogo, au wadogo wa mme wake (shemeji au mawifi) kuwa ndio wanao mpoteza mapenz kwa mke, bila kuangalia kuwa huenda kwa sasa baba hana tena safar ambazo zilimfanya awe anapata nights na ku serve vitenge, same applies, hali ngumu ya maisha ndiyo ambayo wooote inatufanya tufikie hapa, inawafanya wa znz wafikir matatizo yao ya kiuchum n matokeo ya kuuungana na tz, partly inaweza kua n sbb, lakin in a large extent inaweza kua si kwel. Ndicho ambacho tutakija kukiona siku tukiwa na East Africa Fedaration, trust me, hali ikija kua ngumu tutaona shida si uchumi wa dunia kuyumba, bali ni yule mkenya ambaye tuko naye oficn na ni kama vile ana 'kubania' ww ku make pesa.
From the security point of view, Znz is a LIABILITY kwa usalama wa taifa letu, same applies kwa usalama wao wenyewe,kama wauunguja na wapemba, kwa mznz ambaye ni visionary, kwa mtz ambaye ni visionary, they ARE MORE SAFE KUWA KTK MUUNGANO KULIKO KUWA NJE YA MUUNGANO, same applies kwa sisi as a nation. Ni somo pana, ni ngumu kulielewa kwa haraka.
Tukubali, hakuna muungano ambao umekuwa smooth, wenzangu ambao mmetembea zaidi mtatusaidia kwa hili, iwe ni kwa UK au sehemu zingine, point ya msingi ni kwa jinsi gan wameweza ku move on, ku settle tofaut zao bila ku jeopradize security ya nchi zao.
Mwisho, kama umeshawai fika znz, unguja na pemba, ukaona ni jinsia gan hawa jamaa wana mitizamo juu ya wao wenyewe (wapemba na waaunguja), ndio utagundua, tatizo is more serious, huenda si hati za muungano, huenda si hati za muungano, ni zaidi ya hilo, and this will be just a beginning (refer to Mwalimu Speech on Muungano), may be jamaa wale wa usalama can smelll and analyse this very rational.
Muungano kwa faida ya nani?, THINK BIG.....!