Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
- Thread starter
- #21
Nashukuru sana, kumpenda kweli nilimpenda sana wakati ule, lakini kama nilivyo andika mwanzo dini ikawa kikwazo na tukafikia uamuzi kwamba kilamtu aangalie ustaarabu wake maana mvua zinakwenda! nilipo mwambia nimepata mwingine hapo ndio somo likaanza kubadilikaUna elekea na wewe kumuacha pia hutaki bado kisebu sebu na kiroho kipapo, mueleze ukweli kama ulivyo jieleza hapo juu kwanza wewe sio kuadi
wakumtafutia mwanamme mwengine sababu wewe ni mwanamme ulokamilika, na dini ndio kikwazo na wewe umeshafikia umri labda unataka kuoa,na umeshapata mwengine ambae dini yenu inaruhusu kuowana mueleze kwa hekma atakuelewa na uwe mwenye msimamo,sikwambi nirahisi kumueleza lakini ukiwa kama mwanamme nilazima uwe na mamuzi japo nimagumu la sivyo hata huyo ulonae pia hamtakua na raha as long as hujafanya mamuzi kwa huyo dada.