M muchetz JF-Expert Member Aug 16, 2010 943 732 Aug 2, 2012 #1 Niko na surf net hapa ghafla naona Google iko out, site zingine ni accessible. Kuna mtu mwingine ana experience tatizo na google?
Niko na surf net hapa ghafla naona Google iko out, site zingine ni accessible. Kuna mtu mwingine ana experience tatizo na google?
njiwa JF-Expert Member Apr 16, 2009 12,369 5,514 Aug 2, 2012 #2 dah jamani thread nyingine sasa zimezidi.. man kama unamiliki facebook account unaweza ukaweka hii status watu watakujibu haraka ...
dah jamani thread nyingine sasa zimezidi.. man kama unamiliki facebook account unaweza ukaweka hii status watu watakujibu haraka ...
Ginner JF-Expert Member May 8, 2011 1,459 1,832 Aug 2, 2012 #3 hahahahhaa aya wadau napita tu ......japo niache neno
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Aug 2, 2012 #4 hiyo mzee inawezekana kwenye pc yako ka vipi ungecheki connection yako..
wilbald JF-Expert Member Dec 17, 2007 1,804 1,374 Aug 2, 2012 #5 somehow it is running low for this two days but it guess the network may the key factor.