Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Kweli kabisa umri hauna uhusiano na mambo ya kuoa/olewa.ndoa na umri havina uhusiano hata mdogo
oa/olewa ukijisikia kufanya hivyo wewe mwenyewe na ukijisikia kuishi bila kuoa au kuolewa pia hakuna tatizo au niseme hakupaswi kuwa na tatizo.
wengi wanaoshikilia wenzao waolewe/waoe ni boring old people