Ili mradi kinachoendelea kwenye wizara mbalimbali ni UOZO kuliko mazuri yanayohitajika mwa manufaa ya wananchi, basi kususia kuandika habari za wizara ya mambo ya ndani ni sawa na kususia kuandika uozo wa wizara hiyo....ni sawa na kuacha maovu ya wizara hiyo yaote mizizi....ningekuunga mkono endapo ungesema kwamba sasa ni wakati wa vyombo vya habari kuuvalia njuga uozo wa wizara hiyo na kuuanika kila uchao......kwamba, kila toleo litokalo, basi ndani ni uozo wa wizara hiyo!
Nakosa maneno mepesi kwa sasa ya kuandika!.. Natokwa machozi!. R.I.P. David Mwangosi!.. Bado wewe ni Rafiki yangu popote ulipo!. We love you Bro!.
Dr Slaa aliposema nchi haitatawalika nilidhani ni jazba na hasira za kukosa urais ambao anauota siku zote,lakini sasa hivi ninapata picha kamili ya dhamira yake.Anatumia kila njia kuhalalisha ujambazi wake wa siasa kufikia malengo yake,shime watanzania tukatae siasa za aina hii, Dr Slaa ni Foday Sankoh mwengine anatoa kafara watu ili afanikiwe katika malengo yake.Nilishangaa kuona wanafanya party kwa mchungaji Msigwa baada ya mauaji ya Morogoro sitostaajabu sasa hivi akiwa anakunywa mvinyo kujipongeza kwa kifo cha Daudi Mwangosi.Roho za watanzania hawa zitakuandama popote uendako..
Dr Slaa aliposema nchi haitatawalika nilidhani ni jazba na hasira za kukosa urais ambao anauota siku zote,lakini sasa hivi ninapata picha kamili ya dhamira yake.Anatumia kila njia kuhalalisha ujambazi wake wa siasa kufikia malengo yake,shime watanzania tukatae siasa za aina hii, Dr Slaa ni Foday Sankoh mwengine anatoa kafara watu ili afanikiwe katika malengo yake.Nilishangaa kuona wanafanya party kwa mchungaji Msigwa baada ya mauaji ya Morogoro sitostaajabu sasa hivi akiwa anakunywa mvinyo kujipongeza kwa kifo cha Daudi Mwangosi.Roho za watanzania hawa zitakuandama popote uendako..
watu wanataka umaarufu mdau,,,,,,polisi na chadema wote wanatafuta popularity,unadhan RPC HAPENDI KUPANDISHWA CHEO ZAID YA HIKO????NA HAO WATU WA CHADEMA PIA WAPO KAZINI,,,,,,,ILA RAIA WA KAWAIDA NDIO TARGET YAO,,,,,,,SIJAWAH KUSIKIA AU KUONA KIONGOZ WA CHADEMA AMEKWANGURIWA WALAU NA RISAS,WALA POLISI KUPIGWA HATA JIWE,TANGU ARUSHA,TARIME,MORO HADI LEO IRINGA,INA MAANA HAWA WANAJUANA,,,,,,POLIS N CHADEMA,ndo maana yule jamaa wa morogoro alisema SISI WENYE GWANDA WAMETUACHA WAMEENDA KUMUUA MTU ASOYEHUSIKA,REFER SINGIDA PIA
Jamaa kila sehemu anasababisha matatizo!dah,alikua sngea.nau iringa.
Dr Slaa aliposema nchi haitatawalika nilidhani ni jazba na hasira za kukosa urais ambao anauota siku zote,lakini sasa hivi ninapata picha kamili ya dhamira yake.Anatumia kila njia kuhalalisha ujambazi wake wa siasa kufikia malengo yake,shime watanzania tukatae siasa za aina hii, Dr Slaa ni Foday Sankoh mwengine anatoa kafara watu ili afanikiwe katika malengo yake.Nilishangaa kuona wanafanya party kwa mchungaji Msigwa baada ya mauaji ya Morogoro sitostaajabu sasa hivi akiwa anakunywa mvinyo kujipongeza kwa kifo cha Daudi Mwangosi.Roho za watanzania hawa zitakuandama popote uendako..
masaburi kazini!....sio siri chadema hata kama hamhusiki ni rahisi kabisa kuunganisha hizi vurugu na haya maandamano kumbukeni kuwa watanzania wengi hawajaelimika na msifananishe hata kidogo maandaman yenu na yale yaliyotokea kule misri kwa sababu zifuatazo:
. Maandamano ya misri yalikuwa yanaongozwa na wananchi wa kati( middle class)
.maandamano ya cdm yanahusu vijana ambao hawajui watapata nini siku ya mwisho