Nadhani bado hujanielewa. Soma taratibu nilichoandika. Kwa muda polisi wamekuwa wanaua raia (in general) lakini sasa wanaanza kugeukia waandishi wa habari. Na hapa ndipo hali inazidi kuwa tete maana sio tu wanataka kuuwa raia, ila wanataka kuzuia hata taarifa za mauaji zisiandikwe - (kill wana habari).
Chadema ni chama cha mauaji viongozi wake wawekwe ndani haraka iwezekanavyo
chadema itatumaliza watanzania!
Hiki chama hakitufai ata kidogo aise.......
Nashauri waandishi wa habari muungane na wamiliki wa vyombo vya habari msiandike kabisa habari za Wizara ya Mambo ya ndani na zile za SSM. Kweli kifo hiki hakikuwa cha lazima, tear gas zilitosha tu kuwakimbiza hao CDM. Ogopeni damu, polisi, hizo damu zitawalilia. Mtalaanika. Naogopa mno kifo sembuse kuua. So sad.
CHADEMA itatumaliza watanzania!
Hiki chama hakitufai ata kidogo aise.......
Kama wao wanafanya hivi badala ya kulinda raia,washtakiwe wapi?
Dada Bajabiri inaelekea Arusha hukuangalia au ulikuwa unamlisha mtoto?watu wanataka umaarufu mdau,,,,,,polisi na chadema wote wanatafuta popularity,unadhan RPC HAPENDI KUPANDISHWA CHEO ZAID YA HIKO????NA HAO WATU WA CHADEMA PIA WAPO KAZINI,,,,,,,ILA RAIA WA KAWAIDA NDIO TARGET YAO,,,,,,,SIJAWAH KUSIKIA AU KUONA KIONGOZ WA CHADEMA AMEKWANGURIWA WALAU NA RISAS,WALA POLISI KUPIGWA HATA JIWE,TANGU ARUSHA,TARIME,MORO HADI LEO IRINGA,INA MAANA HAWA WANAJUANA,,,,,,POLIS N CHADEMA,ndo maana yule jamaa wa morogoro alisema SISI WENYE GWANDA WAMETUACHA WAMEENDA KUMUUA MTU ASOYEHUSIKA,REFER SINGIDA PIA
Mkuu nime-assume wana umoja kwa hiyo mambo ya njenje sikuyafikiria!!! Ila pia sikuwaza kuwa kuna vyombo vya habari kama magazeti ya serikali, na TBC zote kuwa ni pro SSM, na pia magazeti kama ya New habari Corporation ni fisadi ambao wanaogopa CDM. The list is long but tufika wakati hata kwa muda waandishi wasitishe huduma. Ingekuwa nchi za wenzetu wangetoa msimamo. Ngoja tusikie MOAT na MCT kama watasema chochote.unazungumzia waandish wa habari wa nchi gani wewe????hebu toa ufafanuz???kama ni tanzania hilo usilitegemee
Kamanda wa mauaji Iringa Michael Kamuhanda!
Eti mkuu wa polisi mkoani...kashiba rushwa hadi shati halimtoshi, shenzi type!