Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,532
- 2,435
Ajabu sana, nasikia wamefuga nywele nyingi hadi IKULU.
Ona hii kuku ya kasarani.Sijui waliingiaje mkenge wa hiyo dini ya mwarabu, Persians ni watu wenye akili sana na wangekua mbali sana leo hii isingekua huo uzombi wa kidini.
Hiyo dini ingeachiwa waswahili na waarabu basi.
Hakitobadilika chochote hata wakiandamana nchi nzima! Kama hawataki wahame nchi, ila sheria zitabaki pale pale!Maandamano bado yanaendelea hadi hii lieo.
Niliposikia hii habari ikabidi nianze kufuatilia ukweli wake.
Hadi sasa makundi ya wanawake wanazidi kuongezeka barabarani na kuchoma hijabu zao.
Wako vichwa wazi kabisa na wana nywele ndefu za kupendeza sana.
Nadhani wanawake wa Kiislamu wamechoka na tabia ya kufunikwa mitambala sasa.
Watoto wanataka waonekane na wawavutie wenza wao, waoneshe urembo wao, sasa hivi urembo ni pesa.
Kuwafunika warembo na mitambala ni dhambi kubwa huku wanaume hawajifuniki.
Mkitaka hivyo jifunikeni wote basi.
Hiyo mitambala muache macho tu.
Eti Dini ya Khaki
My foot.
Hakitobadilika chochote hata wakiandamana nchi nzima! Kama hawataki wahame nchi, ila sheria zitabaki pale pale!
Wairani sio Waarabu Shekh, ni Waajemi.Waarabu bwana wana umoja hatari. Wakiamua jambo lau hawataki ujinga. Sasa hawa ndio super women tunaohitaji kuoa
Sawa nimewaelewa jamani.Wairani sio Waarabu Shekh, ni Waajemi.
Sheria nyingi za dini, iwe uislamu au ukristo, zipo kwa ajili ya kukandamiza wanawake.Haya mambo haya, Naomba mnisaidie hili wajuzi.
Kama issue ni kujistili kwann na wanaume wasivae hijab ili kuficha Sehemu ya miili yao inayoweza kumsababishia mtu mwingine kushawishika?
Ni sawa na kusema, Watu wa Shinyanga siyo Watanzania, ni wasukuma.Wairani sio Waarabu Shekh, ni Waajemi.
Ilikuwa inaenezwa kwa upanga. Ni either you comply or die. Hata sasa inasimamiwa kwa upanga, that's why huyo binti aliuawa kwa kukiuka masharti.Sijui waliingiaje mkenge wa hiyo dini ya mwarabu, Persians ni watu wenye akili sana na wangekua mbali sana leo hii isingekua huo uzombi wa kidini.
Hiyo dini ingeachiwa waswahili na waarabu basi.
Kweli mkuuu?Ajabu sana, nasikia wamefuga nywele nyingi hadi IKULU.
Halafu huwa mnaiga hadi kujilipua mabomu, yaani mwarabu anakujaza mzuka wa dini yake hadi unawalipukia Waafrika wenzako...
Ikiwa wanataka kufunga ndoa za jinsia ndio watakuja huko kuungana nanyi ndani ya ukiristoBora wahamie dini za kikristo . Waachane na dini kandamizi kwa wanawake . Na waanze kuvaa Bikini wakienda beach na sisi tufaidi
Endeleza kuwashabikia hao wenzio wazungu kasoro rangi wanatupiga risasi kila kukicha huko kwao Hilo hulijui wala hulioni
Ikiwa wanataka kufunga ndoa za jinsia ndio watakuja huko kuungana nanyi ndani ya ukiristo
Ni sawa na kusema, Watu wa Shinyanga siyo Watanzania, ni wasukuma.
Sasa hawa ndio super women tunaohitaji kuoaWaarabu bwana wana umoja hatari. Wakiamua jambo lau hawataki ujinga. Sasa hawa ndio super women tunaohitaji kuoa
Nimekupata mkuu.Waarabu na WaIrani wana tofauti. See the below link.
Difference Between Arabs and Persians
Arabs vs Persians Arab people, or Arabs, are those people who inhabit the Arab world. “Arab world” is considered to be located in North Africa and Western Asia. Arabs are distinguished from other people onwww.differencebetween.net
Wanaume wanavaa hijab,ambayo ni baina ya chini ya kifua mpaka magotini,tofauti na wanawake kulingana na maumbile yaoHaya mambo haya, Naomba mnisaidie hili wajuzi.
Kama issue ni kujistili kwann na wanaume wasivae hijab ili kuficha Sehemu ya miili yao inayoweza kumsababishia mtu mwingine kushawishika?
Yeah na ni lazima wakandamizwe hakuna namna.Sheria nyingi za dini, iwe uislamu au ukristo, zipo kwa ajili ya kukandamiza wanawake.