Iran inajiandaa kupiga ndani ya Israel kwa masaa 48 yajayo

Maneno meeeengi, Israel tayari keshasukuma kete, zamu ya Iran.
Hajui apige wapi ili vita isije nchi kwake.....

Sana sana hatapiga ndani ya Israel maana Israel huwa halazi damu kabisa, kajipanga....

Kazi kwetu tujiandae kununua mafuta kwa 10000.
Maana hii vita lazima US ataingilia na akiingilia Homuz hapapitiki tena
Kwann Marekani haingie si Israel anajiweza Marekani wa nini tena?
 
Sio kesi mwambieni huyo Ayatollah na midevu yake ashambulie Israel si anajifanya ana military capability ila msije kulia lia humu kuwa Israel inaua wanawake na watoto na raia wasio na hatia wa Irani kama mnavyolia Gaza wakati vita ilianzishwa na Hamas

Waambieni Irani Israel haiwaogopi na inawakaribisha kupigana nao hao Ma Ayatollah wafuga Midevu muda wowote ruksa waanzishe vita

Israel inawakaribisha mikono miwili kuwa Irani karibu Vitani tupigane mwambieni huyo Ayatollah wenu kuwa anakaribishwa vitani kwa mikono.miwili na Israel
Hivi ww jamaa unadhani vita ni rahisi kama unavyo mtikisiaga matako basha wako sio?
 
Ripoti za kiuchunguzi za CIA zinaeleza kuwa Iran inaendelea kujiandaa na mashambulizi ya drones ndani ya Israel hasa kwenye maeneo yake ya viwanja vya ndege na kambi za jeshi...

Wakati haya yakijiri Huko Iran na Israel nao kupitia waziri wa ulinzi bwana GALLANT amesema kuwa "vikosi vyetu vipo tayari na vimejipanga kitambo sana na vita Kwa kujilinda na kupiga"

Naona vita hii inayoendelea inapelekea vita ya 3 ya dunia...tuombe MUNGU Iran asijibu mapigo
Kww kauli hii tu Tiari soko la hisa litakuwa limeanguka
 
Nchi yenye nuclear power huwa haipigwi vita kiboya hivyo. Angalau wote wangekuwa na nuclear power hapo sawa. We unazani North Korea alipata wapi jeuri ya kumvimbi US? Ni nuclear power tu.

Ndio maana Israel inavimba maana inajua lazima wengine waingilie kuzuia matumizi ya nuclear yasitokee.
Netanyahu hajakimbilia kwenye nuclear Bunker ya rafiki yake na busha lake walompasua juzi!?..maana rocket za Hamas tu zilimkimbizia huko
 
Sasa ndugu yangu hebu kuna mambo tuyaweke sawa.

Israel inapambana na kikundi cha wanamgambo wa Hamas. Kikundi ambacho kipo Gaza chenye idadi ya wapiganaji takribani elfu ishirini (20,000). Gaza ambayo ukubwa wake kama wilaya ya Kigamboni.

Mpaka sasa Israel bado anapambana nacho hicho kikundi na Israel ametumia 82% ya uwezo wake wa kijeshi. Kikundi ambacho kinatumia silaha duni.

Tangu mwaka jana mpaka sasa bado hajamaliza vita.

Unafikiri kupigana vita ni rahisi?
Umejaribu kuwaza akipigana na nchi kamili yenye majeshi kamili na yenye silaha za hali ya juu itakuwa salama kwa Israel?

Unafikiri kwa nini Marekani imejaribu na imeweza kupunguza mvutano wa Hizbullah kuingia vitani na Israel kipindi hiki?
Tena hiyo ni rahisi kuliko kupigana na vikundi vya kigaidi ndani, angalia mifano Nigeria na Bila Haram, Somalia na Alshabab, Congo na M23
 
Sawa sawa!

Lakini unafahamu pia USA ilikuwa inamlipa Iran kiwango kikubwa cha pesa ili asitengeneze hayo mabomu?

Na unakumbuka pia kipindi cha kati Iran alitishia kuwa atafanya urutubishaji na kutengeneza hayo mabomu ya nuclear?
Wenzio wanapiga hesabu za mbali, mtu pekee walishamchelewa ni Kim Jong Un wa Korea na hawataki nchi yoyote ya kiarabu kumiliki Nyuklia kwa sababu wanawajua Waarabu akili zao zinabadilika any time. Ndio maana walimuwahi Sadam na Ghadafi. Shida ya wazungu ni maslahi sio dini kwa sababu hata anayofanya Israel hakuna dini inasupport. Ndio maana Saudi Arabia chimbuko la Islam ni washikaji wao
 
Kajificha wapi? Iran katangazia wazi dunia kuwa Hezbollah anawapa silaha, Hamas , Houth , Islamic resistance wote hawa anawasupport financially and Technically .hata hao mabwana zenu wa marekani na Israel wanajua wazi hilo.
Katangaza wapi?!

Kila siku inakana kutoa silaha kwa hivyo vikundi vya kigaidi.
 
tango bro Laden auae dunia ilipoa sana angalau saiv naona uchangamfu umerudi amsha amsha kila kona mara m23 mara ukraine uku mabroo wa hamasi wanakinukisha alafu alaf wanapelekewa ngoige , uku mabrazamen wa houth wanatamba kiharamia hii miaka kadhaa lazima kila mtu apigane ili tusionekane wanyonge tutafute jiran yetu yeyote mnyonge tumbonde liwe somo kwa wengine
 
Kwann aukimbie kwani yeye ndo katoa taarifa hiyo au imetolewa na shirika lenu pendwa CIA?
Isipo tokea ndo tujaua kuwa CIA ni shirika la kimbea na sio la kijadusi.
Hiyo taarifa imetoka kwenye chanzo kipi cha habari?! Kama ni cha mchongo bhas ni FEKI.
 
Mimi sina cha kupoteza maana hata nisipokutupia bado utaniangamiza. Bora nitupe maana hapa tunaongelea kujiokoa au kuangamia.

Ndio maana nikasema nchi yenye nuclear power haivamiwi kizembe. Maana yake pamoja na sheria za matumizi ya nuclear, bado wamiliki wengine wa nuclear wataingulia kati isifike kuwa vita.
Hakuna asiye na chakupoteza kwenye vita
 
Sio kesi mwambieni huyo Ayatollah na midevu yake ashambulie Israel si anajifanya ana military capability ila msije kulia lia humu kuwa Israel inaua wanawake na watoto na raia wasio na hatia wa Irani kama mnavyolia Gaza wakati vita ilianzishwa na Hamas

Waambieni Irani Israel haiwaogopi na inawakaribisha kupigana nao hao Ma Ayatollah wafuga Midevu muda wowote ruksa waanzishe vita

Israel inawakaribisha mikono miwili kuwa Irani karibu Vitani tupigane mwambieni huyo Ayatollah wenu kuwa anakaribishwa vitani kwa mikono.miwili na Israel
Ayatollah ana kukera sana kwa nini ?
 
Hakuna vita ya 111 ya dunia. Usiogope. Huyo Ayatola anaweza kupotezwa hata kabla ya vita kuanza. Hii ni kwa sababu chokochoko yate hiyo imeletwa na huyo Ayatola na genge lake na wala sio wananchi. Wananchi hawampendi kabisa ila anatumia dola (Majeshi ya kidini) kuwakandamiza. Rejea walipoandamana akina mama kwa kuuawa msichana aliyeacha kuvaa hijabu. Mbona Ayatola hapo aliufyata? Sasa anataka aijaribu Israel???? :KEKBye:
Kwa hiyo Ayatollah ndie aliyeshambulia ubalozi wa Iran Syria sio Israel ?

Kuna watoto wengi sana humu.
 
The Sunni Militant Group, Jaysh al-Adl is claiming to have now Stormed and Captured an Arms Depot of the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) within the Town of Rask in Southeastern Iran, less than 30 Miles from the Border with Pakistan.
 
Tena hiyo ni rahisi kuliko kupigana na vikundi vya kigaidi ndani, angalia mifano Nigeria na Bila Haram, Somalia na Alshabab, Congo na M23
Sasa ndugu yangu.

Kwanza Gaza ni gereza. Israel yote kaizungushia fence. Hakiingii chochote wala kutoka chochote isipokuwa kwa ruhusa ya Israel.

Eneo lenyewe ni dogo wala si kubwa! Limetolewa mifano mara nyingi humu. Ukubwa wake ni kama wilaya ya Kigamboni.

Hamas anaopambana nao wanatumia silaha duni za kienyeji za kujitengenezea wao.

Hamas haina ndege, haina jeshi la bahari, haina vifaru. Zaidi ya wanamgambo elfu ishirini kadhaa.

Israel imetumia 82% ya uwezo wake wa kijeshi ambapo mpaka sasa anapigana kwa takribani miezi 6 sasa.

Lakini hayo yoye yakitokea kuna mambo yafuatayo nayo yametokea:

Israel imeomba msaada wa kijeshi Marekani. Wanapatiwa silaha na zana za kivita mbali mbali na si mara moja wala mara mbili.

Wanapatiwa msaada wa gharama za kuendesha vita kwani vita yake na Hamas uchumi wake umeporomoka.

Tuwe wa kweli! Kwa kikundi hicho cha Hamas na eneo dogo kama hilo tena alilolizingira Israel ni wa kupambana nalo kwa miezi 6? Ambapo mpaka muda huu anahangaika nalo?

Kama hali ndiyo hii akipigana na nchi inayojiweza atakuwa katika hali gani? Yenye jeshi la anga, jeshi la maji, jeshi la ardhini n.k?

Tukubali, kwa sasa Israel haina uwezo wa kupigana na nchi yoyote ile.
 
Back
Top Bottom