Wamesema Hadi Ramadhan ipiteMpaka Sasa ni zaidi ya masaa 72 na Iran bado imeufyata. Kulikoni?
Hizo nchi na vita 🙌🙌🙌🙌!
Hizo nchi na vita 🙌🙌🙌🙌!
Wakubwa wa Dunia wanaizuia isiwe nayo.Wewe unadhani Iran haina nuclear bombs?
Okay!Wamesema Hadi Ramadhan ipite
MASAA 48 YASHAPITA.....AU BADO 🤣🤣🤣Kwann aukimbie kwani yeye ndo katoa taarifa hiyo au imetolewa na shirika lenu pendwa CIA?
Isipo tokea ndo tujaua kuwa CIA ni shirika la kimbea na sio la kijadusi.
USHABADILI GIA ANGANI......KUA SIO SERIKALI YA IRAN ILIYOSEMA NI CIA....🤣🤣🤣🤣Kwann aukimbie kwani yeye ndo katoa taarifa hiyo au imetolewa na shirika lenu pendwa CIA?
Isipo tokea ndo tujaua kuwa CIA ni shirika la kimbea na sio la kijadusi.
MASAA 48 BADO MKUU??Ripoti za kiuchunguzi za CIA zinaeleza kuwa Iran inaendelea kujiandaa na mashambulizi ya drones ndani ya Israel hasa kwenye maeneo yake ya viwanja vya ndege na kambi za jeshi...
Wakati haya yakijiri Huko Iran na Israel nao kupitia waziri wa ulinzi bwana GALLANT amesema kuwa "vikosi vyetu vipo tayari na vimejipanga kitambo sana na vita Kwa kujilinda na kupiga"
Naona vita hii inayoendelea inapelekea vita ya 3 ya dunia...tuombe MUNGU Iran asijibu mapigo
MASAA 48 YASHAPITA.....AU BADO 🤣🤣🤣
Mzee wa nairobi.....🤣😂😂😂😂 masaa 48 tayari........ndugu yangu kaukimbia uziMakombora yanachimba dawa kwanza, yatafika tu vuta subira...
Afu kitimoto......jina gani hilo......ushanifanya nitafute ugali mda huuBuriani Iran.
God Bless Israel
Iran wanasubiri Ramadhan ipiteHapo Putin kama hajatoa baraka zake Iran haiwezi kufanya cho chote! Na sidhani kama Putin kwa urafiki alionao na Netanyahu ataruhusu.
Sitarajii kabisa kama Iran watajaribu.
Wanaogopa kufutwa kwenye Romani ya dunia!Hayo masaa bado mpk sasa?
Asante
Kufika Iran kuna uhusiano gan na vita chiefUlishawahi kufika Iran? Au unaifahamu Iran?