Iran imekwisha!

Mpendwa hizi zote ni mifano ya fikra zinazoitwa conspiracy theories.
Kwa jumla hizi zote zinadai kuwepo kwa jamii za kisiri zinazojaribu kutawala dunia.
Na kwa jumla nadharia hizo zote ni fuja na ujinga - pamoja na nadharia yako kuhusu Wayahudi.

Zote hazilingani na dunia halisi bali na haja ya kisaikolojia ya aina fulani ya watu.
Zote zimeshachunguliwa na kuonekana si kweli.
zote zinarudi kwa madai mapya na kupata watu wanaoziamini kwa sababu wanataka kuamini.

Hivyo nadharia hizi zinacheza kwenye uwanja wa aina ya "imani" na hazifikiwi kirahisi na akili.

Mfano bora ni link uliyoleta kuhusu ile "Microsoft empire". Ni takataka tupu. Hakuna ukweli hata kidogo ya kwamba mamake alikuwa Myahudi.
(Mimi sioni ubaya wowote kuwa na mama myahudi lakini si kweli kuhusu Gates!)

Ni rahisi sana kuchungulia dai hili na kupata habari juu ya wazazi wake na mababu.
Ila tu watu kama wewe wanataka "kuamini" na hawachungulii.
Au ulijaribu kutumia dakika 1 tu kuchungulia kama dai hili ni kweli?

Sidhani. Badala yake unaendelea kufuata links za hao vichaa na kusoma uwongo mwinmgi na baadaye unakuja hapa kutangaza "Ninavyojua..."

Sidhani ya kwamba unajua kitu kuhusu mambo haya.

Kipala!
Una-crush kila hoja inayotolewa na wachangiaji kwenye huu uzi bila kutoa suluhisho au wewe unavyofikiri,Mimi ninavyojua kila kitu kinachotokea hapa duniani kina mwanzo wake(kuna watu nyama kila jambo) na hao watu wana ajenda zao/yao kuanzia vita ya kwanza,ya pili,ushoga,vita za Iraq.iran,libya syria na instability yote kwenye jumuia za kiislam,etc.Mi sidhani hv vita vinatokea tu,kuna jambo hapa,Unajua kuwa jina EUROPE ni la kishetani na kwa ajili ya shetani?Unajua pia Vatican ndio engineer mkuu wa shetani, nambo yote yanayotokea duniani kwa sasa yamepangwa huko kabla hayajatokea?
 
Kipala!
Una-crush kila hoja inayotolewa na wachangiaji kwenye huu uzi bila kutoa suluhisho au wewe unavyofikiri,Mimi ninavyojua kila kitu kinachotokea hapa duniani kina mwanzo wake(kuna watu nyama kila jambo) na hao watu wana ajenda zao/yao kuanzia vita ya kwanza,ya pili,ushoga,vita za Iraq.iran,libya syria na instability yote kwenye jumuia za kiislam,etc.Mi sidhani hv vita vinatokea tu,kuna jambo hapa,Unajua kuwa jina EUROPE ni la kishetani na kwa ajili ya shetani?Unajua pia Vatican ndio engineer mkuu wa shetani, nambo yote yanayotokea duniani kwa sasa yamepangwa huko kabla hayajatokea?
Mpendwa ninashukuru sana ukisema nina uwezo wa ku-crush hoja hapa - lakini naogopa sina uwezo huu. Naweza kupinga hoja zinazoletwa (hasa kama ni rahisi kama viel kutuambia link isiyosema kile kinachodaiwa n.k.)

Ila tu naogopa hakuna dawa dhidi ya hoja za chuki na ujinga.

Ni kweli kabisa ya kwamba vita na kadhalika "hazitokei" tu. Lakini si kwerli ya kwamba "KUNA JAMBO" - hapana: KUNA MAMBO yaani sababu mbalimbali. Kuna watu wanaofanya kazi ya kufikia pale.

Katika mifano uliyotaja sababu zinaeleweka yaani kuhusu vita kuu ya kwanza, ya pili, Vietnam, Iraki. Zote ziliukuwa tofauti na si kweli hata kidogo ya kwamba misingi iliwekwa na watu walewale. Wataalamu wa historia maelfu wamefanya kazi vizuri kuchungulia sababu za matukio haya na kuyaeleza.

Hakuna haja hata kidogo ya kuwaza vyama vya kisiri, jumuiya yenye mipango ya karne nyingi, watu wenye rangi ya kibichi kutoka Mars na kadhalika. Tabia za kibinadamu zinatosha kueleza kwa nini Warwanda au Wajerumani wazuri wanafuata maagizo ya wakubwa na kuchinja majirani yao na kugeukia kutoka kuwa watu wazuri wanyama witu.
<Na baadaye kurudi katika hali ya utulivu na amani.
 
unaelewa kinyume au unapotoshwa! Joka ni shetani na mnyama wa kwanza anayeongelewa ni Vatican, mnyama mwingine baada ya mnyama wa kwanza ni marekani! Soma zaidi! Au nitafute kwa msaada!

unasema mnyama wa kwanza ni vatican nadhani si sahihikwani vatican ilishapoteza nguvu zake siku nyingi na ilitakiwa iwe imeshasambaratishwa siku nyingi sana na uislamu pamoja na kumeguka kwake na kuzaa madhehebu mbalimbali na ndio mana hili neno la pigo la mauti lakin hakufa linaendana kabsa .ila sioni link ya vatican na amerika ,bali link ya uyahudi kusambazwa vatican kwa njia ya ukristo ingawa kwa upotoshaji mkubwa
 
unasema mnyama wa kwanza ni vatican nadhani si sahihikwani vatican ilishapoteza nguvu zake siku nyingi na ilitakiwa iwe imeshasambaratishwa siku nyingi sana na uislamu pamoja na kumeguka kwake na kuzaa madhehebu mbalimbali na ndio mana hili neno la pigo la mauti lakin hakufa linaendana kabsa .ila sioni link ya vatican na amerika ,bali link ya uyahudi kusambazwa vatican kwa njia ya ukristo ingawa kwa upotoshaji mkubwa
Bin go!!
Safi sana! Gooooli tena.
"Protocols of Zion" dhidi ya "illuminati wa Vatican" 3:2!

Ni mashindano ya nadharia mbili za fujo zisizo na ukweli ndani yao - je tutaona goli nyingine??
 
Napenda kupunguza kasi hapa na kuweka sawa baadhi ya point.
1- Siyo kila Myahudi yumo katika mtandao wa Uzayuni ila kila aliyemo ni Myahudi ( Einstein alipinga sana Uzayuni na alikataa kwenda kuishi Israel, pia soma Jack Bernstein My Farewell to Israel by Jack Bernstein)
2-Nilielezea hapa hapa kuwa tatizo la Israel si Wayahudi bali ni Wayahudi wa mtandao wa Uzayuni. Hawa kwa kweli hawana mizizi ya Palestina. Wengi wamekuja kutoka Ulaya lakini asili yao wengi ni Dola ya zamani ya Khazar iliyokuwa katika sehemu za Azerbaijan, Turkmenistan na sehemu za kusini ya Urusi ya leo. Mfalme wa nchi hiyo aliingia dini ya Uyahudi mnamo karne ya 9-10, na ndio hawa waliotapakaa Ulaya ya Mashariki kisha ya Magharibi na baadaye Marekani (wanaitwa Ashkenazi na ndio wanaotawala Israel hivi sasa). Ama Wayahudi wa asili (wa dini na kabila) wa Mashariki, hawa hata Wapalestina hawana tatizo nao.
3- Kwa hiyo, mapambano dhidi ya Uzayuni si mambambano dhidi ya Mayahudi wasio katika mfumo huo, kama hao hapo juu niliowataja na kama Jaji Goldstein wa Afrika Kusini. Hawa ni binadamu wa kawaida kama wengine. Hawaoni kama wao ni tofauti na binadamu wengine, kama waonavyo Wazayuni (soma matamshi ya aliyekuwa Waziri wa zamani wa Israeli, Menachem Begin:' Watu wengine wasio Wayahudi ni kama ng'ombe na sisi ndio tumepewa jukumu la kuwaongoza. Ufalme wetu utakapokuja hawa watachungwa kama wanyama wafuate sheria zetu'
Kwa maelezo nani Wayahudi wasio Wazayuni, tembelea: True Torah Jews Against Zionism
Na pia ; http://www.gilad.co.uk/writings/torah-jews-meet-president-ahmadinejad-in-nyc.html
 
Napenda kupunguza kasi hapa na kuweka sawa baadhi ya point.
1- Siyo kila Myahudi yumo katika mtandao wa Uzayuni ila kila aliyemo ni Myahudi ( Einstein alipinga sana Uzayuni na alikataa kwenda kuishi Israel, pia soma Jack Bernstein My Farewell to Israel by Jack Bernstein)
2-Nilielezea hapa hapa kuwa tatizo la Israel si Wayahudi bali ni Wayahudi wa mtandao wa Uzayuni. Hawa kwa kweli hawana mizizi ya Palestina. Wengi wamekuja kutoka Ulaya lakini asili yao wengi ni Dola ya zamani ya Khazar iliyokuwa katika sehemu za Azerbaijan, Turkmenistan na sehemu za kusini ya Urusi ya leo. Mfalme wa nchi hiyo aliingia dini ya Uyahudi mnamo karne ya 9-10, na ndio hawa waliotapakaa Ulaya ya Mashariki kisha ya Magharibi na baadaye Marekani (wanaitwa Ashkenazi na ndio wanaotawala Israel hivi sasa). Ama Wayahudi wa asili (wa dini na kabila) wa Mashariki, hawa hata Wapalestina hawana tatizo nao.
3- Kwa hiyo, mapambano dhidi ya Uzayuni si mambambano dhidi ya Mayahudi wasio katika mfumo huo, kama hao hapo juu niliowataja na kama Jaji Goldstein wa Afrika Kusini. Hawa ni binadamu wa kawaida kama wengine. Hawaoni kama wao ni tofauti na binadamu wengine, kama waonavyo Wazayuni (soma matamshi ya aliyekuwa Waziri wa zamani wa Israeli, Menachem Begin:' Watu wengine wasio Wayahudi ni kama ng'ombe na sisi ndio tumepewa jukumu la kuwaongoza. Ufalme wetu utakapokuja hawa watachungwa kama wanyama wafuate sheria zetu'
Kwa maelezo nani Wayahudi wasio Wazayuni, tembelea: True Torah Jews Against Zionism
Na pia ; Gilad Atzmon - Writings - Torah Jews meet President Ahmadinejad in*NYC
Ndugu Sijali asante kwa mchango maana unajaribu kutofautisha badala ya kutupa kila kitu mahali pamoja.

Hata hivyo nataka kuonyesha wapi siwezi kukubali.
1) ni kweli kabisa hakuna upingamizi.

2) hapo sikubali. tatizo la Israel si Wayahudi hasa ni Waarabu. Lakini kua taizo ingine, hapa kuna ngazi mbili
a) kuundwa kwa dola la Israeli bila shaka haikuwa haki kwa wenyeji wengi asilia na wangi hao wakati ule walikuwa Waarabu. Hawakutendewa haki maana kuundwa kwa Israeli ilikuwa tokeo la Holocaust na si Waarabu waliotenda Holocaust lakini walipaswa kubeba mzigo.
HATA HIVYO hii ni historia na mambo yaliyopita. Israeli ni nhi iliyokubaliwa na kupokelewa na Umoja wa Mataifa. Ni mwana-UN. Ina haki za kuwa na mipaka yake na hali bila tishio kama kila mwana-UN pia mataifa yaliyoanzishwa baada yake kwa mfano kenya, Tanzania na kadhalika.

PIA wakazi wengi wa Israeli si wazahyuni tena. Maana hao wameshakufa karibu wote na idadi kubwa ya raia wa Israeli walizaliwa nchini ni mahali pao.
KWA HIYO mataifa mengine wanatakiwa kukubali kuwepo kwa nchi hii kwa masharti ya kawaida ya uhusiano kati ya mataifa.

b) tatizo lililopo ni ya kwamba Israeli ilkubaliwa katika mipaka ya 1949 lakini tangu 1967 inatawala eneo kubwa zaidi yaani Westbank (na kwa muda mrefu pia kanda la Gaza). Pia Israeli ilianza kujenga miji na makazi ya watu katika sehemu zile ambazo si mali yake. Hapa jumuiya ya kimataifa inasisitiza ya kwamba makazi haya hayawezi kubaki jinsi ilivyo. Mataifa karibu yote hayakubali Jerusalemu kuwa mji mkuu wa Israeli hadi mapatano ya amani na Wapalestine - hata USA hawana ubalozi Jerusalemu bali Tel Aviv!

Tena katika miaka tangu 1949 taifa jipya lilijtokeza yaani Wapalestina (hawakuwa taifa kabla ya kuwepo kwa Israeli..). Na hao wana haki ya kusihi katika sehemu yao kwa mani.

tatizo kubwa ni ya kwamba hadi sasa uadui kati ya pande mbili, ugaidi kwa upande wa vikundi vya Waarabu na kiburi upande wa sehemu ya Wayahudi hadi sasa zilizuia usuluhisho.

c) uanchotofautisha kati ya asili ya Wayahudi ni historia tena si ya uhakika haina maana katika hali ya leo kwa swali la usuluhisho. Haiidhuriu mababu walitokea wapi bali wakazi wa Israeli wana haki ya kuishi kwa mani katika nchi yao pia wanatakiwa kuacha mamlaka juu ya sehemu ambazo si mali yao kwa mujibu wa jumuiya ya kimataifa.
 
hawa waajemi(iran) zama zao zilishapita hawana chochote zaidi ya kukumbushia enzi tu soon wanaangukia pua.
 
their ultimate purpose: kuwa na siku moja ya kuabudu (sunday law): nieleweke vizuri, hapa hawatakulazimisha kuhama dini yako bali siku (jumapili), siku moja rasmi ya kuuza na kununua (jumamosi), sarafu moja ya dunia (sio lazima utembee na hela mfukoni, (ndo maana ya atm cards, visa nk.) n.k n.k nk.... Someni "new world economic order" na "sunday law". Kila kitu kipo humo.. Asanteni.
Nikuulize maswali machache!
1. Kukiwa na siku moja ya kuabudu, vatikani itapata faida gani?
2. Kukiwa na siku moja ya kuuza na kununua, vatikani itafaidika vipi?
3. na kukiwa na sarafu moja vatikani itafaidika vipi?
4. Na kwa kuwa wewe unajua fumbo hilo, umeepukana vipi na hiyo mifumo ya kisasa ikiwemo hata matumizi ya internet?
5. Ukiondoa hoja zako za dhahania, unawezaje kuthibitisha kuwa vatikani wanataka kuifanya siku moja ya kuuza na kununua wakati taasisi zao zinauza na kuuza huduma za afya, elimu n.k ktk siku zote za juma?
*NB: usitawaliwe sana na metaphysics maana utashindwa kufanya maendeleo kwako na kwa taifa, badala utafanya kazi kubwa ya kuwajaza watu ujinga kwa kutumia tafsiri potofu. Mwisho badala ya kuijenga imani yako unayodhani unaipigania utajikuta umeibomoa maana ukweli wakati wote hujitenga na uongo.
 
mkuu umeeleza vzr sana, ili kupambana na mfumo wa kiyahudi unaotawala dunia kwa sasa zinahitajika technic za hali ya juu na mashirikiano kutoka mataifa tofauti.

Against the nation of GOD?..........I DOUBT THIS........

Isaiah 13:11

I will punish the world for its evil, the wicked for their sins. I will put an end to the arrogance of the haughty and will humble the pride of the ruthless.
 


Who Wrote the Bible?
1:43:14 - 6 years ago
Who Wrote the Bible? Is the Bible the Word of God? Why is the Bible full of Contradictions? This documentary explores questions at the heart of the great Christian faith in a fair open-minded fashion. It is NOT meant to be inflamatory but informative. The truth one will see is the Bible is NOT what it is thought to be. So what is the Bible? Find out! Visit www.IslamicVideos.net for more videos like this! Now since we can see Christianity is not what we thought it was, we can try and learn about Islam, a religion that many equate with terrorism. Search and learn about Islam as it is thought even by the most educated people on Earth to be the ultimate way to truth and happiness, in the truest sense of the word.
 
Who Wrote the Bible?
1:43:14 - 6 years ago
Who Wrote the Bible? Is the Bible the Word of God? Why is the Bible full of Contradictions? This documentary explores questions at the heart of the great Christian faith in a fair open-minded fashion. It is NOT meant to be inflamatory but informative. The truth one will see is the Bible is NOT what it is thought to be. So what is the Bible? Find out! Visit www.IslamicVideos.net for more videos like this! Now since we can see Christianity is not what we thought it was, we can try and learn about Islam, a religion that many equate with terrorism. Search and learn about Islam as it is thought even by the most educated people on Earth to be the ultimate way to truth and happiness, in the truest sense of the word.

Who Wrote the Bible? - 4oD - Channel 4
 


Najua kila mtu ana uhuru wa kufikiria, lakini kitu kinachonishangaza ni kuwa kila tunapojadili masuala ya Wayahudi lazima baadhi ya watu wataleta mambo ya Ukristo ba Biblia. Ni kweli Mitume wengi ni Wayahudi, lakini si kweli kuwa Uyahudi-kama dini- ina uhusiano wowote na Ukristo. Bali Uyahudi ni kinyume cha Ukristo. Mayahudi wengi wanaamini bw Yesu Kristo (Mungu apishilie mbali) hivi sasa yuko motoni ndani ya jungu la mavi yanayochemka akiadhibiwa! Eti kwa sababu amedai U-' Masiya wa uzushi'
Infact, Uislamu uko karibu zaidi na Ukristo kuliko Uyahudi.

Lakini Wazayuni kwa ujanja wao mkubwa wamefanikiwa kufanya Uyahudi eti ni mama wa Ukristo na hivi sasa wanazungumzia Judeo-Christian civilization! Hakuna kitu kilicho mbali na ukweli kuliko hicho. Enzi zote za huko nyuma Ukristo ulikuwa adui mkubwa wa Mayahudi kwa vile ni wao ndio waliomwua bw Yesu. Lakini leo, hasa huku nchi za magharibi, ukisema hivyo utaambiwa wewe ni anti-semitic! (Angalia yaliyompata Mel Gibson).
Lakini ninachotaka kusema ni kuwa binadamu- wa dini zote- wanakabiliwa na janga kubwa endapo mipango ya Wazayuni itafaulu. Na jinsi siku ziendavyo, na nionavyo hapa kuwa watu wengi bado wako gizani- ingawaje forum hii ni ya watu walionawirika zaidi katika jamii-, na kwa kutazama yaliyowafika Wamarekani na nchi yao kugeuzwa kuwa 'kibaraka tu' wa watu hawa, sioni kuwa hawatafikia lengo lao, hasa baada ya kuishinda Iran......
 
.. kitu kinachonishangaza ni kuwa kila tunapojadili masuala ya Wayahudi lazima baadhi ya watu wataleta mambo ya Ukristo ba Biblia. Ni kweli Mitume wengi ni Wayahudi, lakini si kweli kuwa Uyahudi-kama dini- ina uhusiano wowote na Ukristo. Bali Uyahudi ni kinyume cha Ukristo. Mayahudi wengi wanaamini bw Yesu Kristo (Mungu apishilie mbali) hivi sasa yuko motoni ndani ya jungu la mavi yanayochemka akiadhibiwa! Eti kwa sababu amedai U-' Masiya wa uzushi' Infact, Uislamu uko karibu zaidi na Ukristo kuliko Uyahudi.

..
Mpendwa una mawazo ya ajabu kweli.
1. Ni wazi ya kwamba Ukristo una uhusiano wa karibu sana na Uyahudi. Sehemu kubwa ya Biblia yangu nimerithi kutoka Wayahudi, Yesu yangu alikuwa Myahudi, nimejifunza amnri 10 kufuatana na mapokeo ya Kiyahudi na mengi mengine.

2. Je umeongea na Wayahudi wangapi? - wapi unapata picha ya kwamba wanamwona Yesu mahali pale unapotaja kwa maneno ya ajabu? Si kweli na sidhani wewe una uwezo wa kupima. Wayahudi ninayojua mimi wako pande tatu: wengine hawajali habari za Yesu kabisa; wengine wanamwona alikuwa mmoja kati ya wazushi wengi katika historia ya Uyahudi (ambao bado wanawaona kama Wayahudi!) na wengine tena wanamheshimu kama mwalimu wa maana fulani katika historia ya kiyahudi lakini wakristo hawakumweleewa na kupinda ujumbe wake.

3. Halafu unajipinga kulingana na maelezo yako ya juu. Huko juu ulijaribu kutofautisha kati ya Uzayuni na Uyahudi na kutueleza ni mambo mawili tofauti - hapa unajumlisha yote pamoja. Vipi sasa????
 
Coming back to the thread,America will never invade! 2 reasons:
Iran is too strong. They're not Iraq or Afghanistan,3rd world countries weakened by decades of war and sanctions. They've over a million men at arms,a home grown defence industry and the key to the possible destruction of the US navy in the gulf-sunburn.
Contrary to Tom Clancy type fiction writers,there is no defense,especially in the narrow Persian Gulf for such a threat where it narrows down to 56 km . The technological defense exists only in rigged open sea Aegis ship defense tests;the USN's primary air radar system-not in real life.
Karanja'z Place: THE REAL REASON THE US WILL NEVER INVADE IRAN

The 2nd reason isn't completely implausible though I believe in the first. The US secretly supports Iran against the Jews,who in the wake of the 79 Camp David accords became too powerful. The more I look at this argument the more true it seems:
Just think,the most warlike US leader in decades,Bush the younger never went beyond rhetoric, sabre rattling ultimatums and outright threats-why? Not even a warning cruise missile attack or squadron of f-16s bombing a nuclear research facility like the Israelis did to the Iraqis in 1981;mind you this was before the Iranians had the S-300,the most advanced SAM system in the world,
Looking at the obvious military and secret political reasons,to me the US will never invade.
 
mbona hamna habari yoyote ya nani kaandika biblia au ndio unotorious umekuzidi kaka/dada

Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vilivyoandikwa na waandishii mbalimbali wa kiyahudi katika kuhifadhi historia yao kuanzia mwanzo wao mpaka katika masuala ya kidini,kisiasa,kiuchumi na utamaduni na harakati zao mbalimbali , ila imegawanyika katika sehemu mbili,agano la kale linahusu dini ya uyahudi na agano jipya ni kuhusu dini ya ukristo,na ni vitabu ambavyo vinapingana,wakristo wengi wanapinga mafundisho ya agano jipya na hivyohivyo kwa wayahudi wanapinga agano jipya,mi mara nyingi nikisoma ni kama thesis na anti thesis.hayo matamko ya kusema ni taifa la mungu ni mawazo yao na dini yao kama taifa hata sisi tunaweza tukahifahi historia yetu tukajiita taifa la mungu katika kuleta umoja na mshikamano miongoni mwa taifa ili lisigawanyike
 
Back
Top Bottom