Kingdeeper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 262
- 161
Aya jibu ni 19...unabisher
Kuna viatu pea 3 ambayo sawa sawa na 30
Ina maana kila pea ni sawa na 10
Aya sasa pea moja na midori miwili ni sawa na 20....but pea moja sawa sawa na 10 kwaiyo midori miwili ni sawa na 10...kila mdori moja ni sawa na tano...
Aya tuna endaa mdori na filimbi ni sawa na 13 but mdori moja ni sawa na 5 je filimbi ni sawa na ngapi jibu ni nane ila kila filimbi moja itakuwa sawa na nne
Twendee kwenye jibu sasa kama pea ya kiatu ni 10 mdori ni 5 na filimbi ni 4...apo jibu ni kumi na 9..(19)...
Toa jibu alafu uje na proof ya jibu lako... Maelezo ayo apo toa max
Kuna viatu pea 3 ambayo sawa sawa na 30
Ina maana kila pea ni sawa na 10
Aya sasa pea moja na midori miwili ni sawa na 20....but pea moja sawa sawa na 10 kwaiyo midori miwili ni sawa na 10...kila mdori moja ni sawa na tano...
Aya tuna endaa mdori na filimbi ni sawa na 13 but mdori moja ni sawa na 5 je filimbi ni sawa na ngapi jibu ni nane ila kila filimbi moja itakuwa sawa na nne
Twendee kwenye jibu sasa kama pea ya kiatu ni 10 mdori ni 5 na filimbi ni 4...apo jibu ni kumi na 9..(19)...
Toa jibu alafu uje na proof ya jibu lako... Maelezo ayo apo toa max