Naomba nieleweshwe jinsi Ipod inavyofanya kazi ,je nawezaje kuitumia kwenye Laptop yangu?na je ni ipi nzuri na ya ukubwa gani?nilisikia kipa wa Man U alitumia I pod kuangalia jinsi ya upigaji penalti wa timu pinzani,je picha kutoka kwenye Ipod naweza kuziangalia kwenye laptop na je naweza kuifanya kama USB/Flash na napenda kuangalia movie na muziki kwa sana kwa hiyo ningependa kuwa na I pod yenye kuchukua nafasi kubwa.
Asanteni
Asanteni