tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,860
- 18,282
Kwani makonda ndiye mkuu wa divisheni/idara zote za serikali? Huko wanakofanya kazi hawo watumishi wa umma hakuna wakuu wao wanaowaongoza kutimiza majukumu yao au unataka kusema nini mkuu?Duh! Kwa hiyo,wafanyakazi serikalini wabembelezwe kufanya kazi zao? Wakijisikia walale,mwisho wa mwezi walipwe.
Kwa nini wafanye kazi kwa woga? Wakitimiza wajibu wao,nani atawafatilia kuwawajibisha!?