Ipo siku yaja kwa huyu mwenezi msipomfunda CCM na Rais Samia mtavuna mabua

Mkiongozwa na chuki Makonda atawanyoosha kwelikweli...

Tatizo ninaloliona hapa kuna watu walitamani kumpamgia raisi, nani ashirikiane naye na nani amwache...

Kitu unachopaswa kujua nyinyi mungekuwa na uwezo wa kumsaidia raisi, angewateua nyinyi badala ya huyo munayemchukia ...

Kutokuteuliwa ninyi ni ishara kwamba hamuna uwezo wowote wa kumsaidia raisi na hamkubaliki kwa wananchi...
Vita ya kugombea madaraka itawaua.
 
Hii tabia ya kutatua kero majukwaani wala sio utendaji sahihi. Mara nyingi umelenga kujitafutia sifa kwa raia wasio na uelewa. Mkuu wa wilaya unakuta ana kero 50 mezani mwake amezitatua 30 na nyingine zipo kwenye mchakato.

Anakuja mwenezi, anatajiwa kero moja pale jukwaani, anafoka foka na kuitatua anapata ma marks kibao. Naungana na mtoa mada kuwa mwenezi akichekewa ataanza kumpinga hata rais indirect. Maana kuna vi kauli anatamka live kuwa angekuwepo JPM ningefanya hivi, tatizo mama ni mpole. Hiyo kauli ki falsafa sio sifa ni kuponda kiana.

Akichekewa, ipo siku mtoto atamtamkia mama kuwa usinizingue, kwanza naweza kukuzaa. Wapenda sifa huwa wanawinda jamii ya watu wa chini waliofail kimaisha ambao akili za uchambuzi wa kauli za viongozi hawana. Mwenezi kwa sasa anaogopeka kuliko mama. Ipo siku kichwa kitazidi mwili, maana wazee walisema, "Ndama huzaliwa na masikio, baadaye ndo pembe zinaota." Nahisi pembe za mwenezi zipo speed kwenye uotaji wake.
 
Mama angalia kwa umakini huyo mwenezi wateule wako wameanza kumuogopa wamekuachia wewe so be carefull mama yetu.

Falsafa yako ya uongozi imelenga kuongoza nchi kwa kufanya kila raia ajisikie amani kujiita mtanzania.
JPM alikuwa aggressive sana kiasi kwamba hata mahusiano ya kimataifa yalikaa vibaya maana alikuwa anatumia resources zake zote na hata muda mwingine kutumia uhuni na uongo ili afanikishe adhima yake.

Kumbuka JPM walimpenda sana watu wa chini ambao furaha yao kuona tajiri wa mtaani kwao nae akishushwa wanahisi wanapata ahueni ya maisha ndo maana akijiita RAIS WA WANYONGE. Masikini na jealous ni tako na mavi i mean vipo jirani.
 
Lakin saa inakuja,nayo sasa ipo,ambapo mtavuna mnachokipanda, kwa jicho la mbali mnamuona kama anakijenga chama, katika jicho la upeo wa roho anadhoofisha chama, bosi wake na Viongozi wakuu wengne na kujijenga yeye.

Anajisafisha na kujitanabaisha alikuwa ni mtu mwema, kiongozi shupavu na jasiri. Mpaka sasa anamuheshimu mwendazake na ndiye bosi wake wa moyo wa mda wote. Ndo mana anaishi falsafa zake na ndio anazohubiri, falsafa hizo zinalengo la kuwaibua wale walompenda na kufanya aonekane yeye ndo mrithi sahihi, Wale walompenda Mwendazake sasa watampenda huyu kwa heshima na kweli na watamuimba kama shujaa wao na hakuna atakae weza kuzuia.

Mama Falsafa yako ilitanabaisha watumishi wa serikali wasifanye kazi kwa woga, bali kwa weledi na nidhamu,ila falsafa inayohubiria majukwaani kwa sasa ni hofu na umaarufu wa mtu.kwa vile watumishi wengi wa serikali ni waoga, wamejengwa kuogopa wanasiasa,zile zama za woga zinarudi, na hakika watumishi na wateule wako wote wanamuogopa huyu kuliko kiongozi yeyote ktkt taifa hili, huku akijijenga kwa wale wananchi mnaowaita walalahoi na wanyonge wamuone ndiye kiongozi pekee mwenye udhubutu na kukemea maovu.

Hakika nakwambia ,watanzania wanataka kiongozi anayesema na kutenda, anayeonya na kukemea kweli kweli, anayewajibisha watumishi wa umma wazembe na wabadhirifu wa mali za umma na hii ndio beat anayotembea nayo Mwenezi.
Asipofundwa vizuri atakufarakanisha na wale uliokuwa umeanza kupatana nao,haki uliyoitengeneza na kuipigania itapotea. Mhe raisi binafsi naamini unafanya kazi nzuri sana na nakupenda kwa dhati kwa sababu unapenda haki na usawa kwa wote lakin nakuomba usiamni sana hawa wasaidizi wako,wengi wao wanaangalia vyeo na matumbo yao,usiwakumbatie sana kana kwamba bila wao nchi haitaenda,kuna wateule wako wanakuharbia halafu wanakusifia wakiamn utafurahishwa na hizo sifa.maagizo yako hawayatekelezi kabisa na wanafanya yao kwa mgongo wako.

Ole wenu msipotafta namna ya kumfunda, ipo siku yaja hamtaweza kuyazuia mafuriko, Kama lengo ni kumjenga kuwa kiongozi basi ni vema mkamjenga sawasawa kwa sababu kama atabadilika ni kiongozi mwenye udhubutu na huenda akaleta Mabadiliko katika nchi, anahulka ya kupenda Maisha ya kifahari lakini anachukia wengine wanaoyaishi, anapenda mamlka na kuamuru lkn hapendi anayemzidi mamlaka, anapenda kusaidia watu na anataka ajitanabaishe ni yeye pekee mwenye huruma na moyo wa kusidia watu, anapenda kuonekana ni mcha Mungu kuliko wanaosimama madhabahuni.

Maisha yameguwa magumu sana mtaani,Mama sekta bnafsi zinazofanya kazi na serikali hasa zinazolipwa na pesa kutoka HAZINA hazilipwi kwa wakati na kusababisha baadhi kuzorota au kufa hasa za wazawa,umeme umekuwa ni tatizo na kero kubwa sana kwa wananchi,watu wanategemea umeme kufanya shughuli zao zinazowaingizia kipato na kuendesha Maisha yao lkn umeme umekuwa ukikatika kila uchao jambo linalowafanya wananchi kuanza kuchukia serikali.zaidi Viongozi wa serikali wengi hasa wateule wako wanaishi Maisha ya kifahari na bila shaka kero ya umeme kwao haiwapati

Iwe jumapili njema kwenu,Maandiko yanasema ‘basi sasa msiwe watu wa kudharau,vifungo vyenu msije vikakazwa,maana nimeskia kwa Bwana,Bwana wa majeshi,Habari ya hukumu itakayotimizwa,nayo imekusudiwa.
sijui kwanini nafsi yangu inapata furaha na amani nikiona masisiemu yanaparurana na kujazana hofu wao kwa wao?. hii kitu mpaka leo sijapata jibu lake.
 
Hii tabia ya kutatua kero majukwaani wala sio utendaji sahihi.Mara nyingi umelenga kujitafutia sifa kwa raia wasio na uelewa.
Mkuu wa wilaya unakuta ana kero 50 mezani mwake amezitatua 30 na nyingine zipo kwenye mchakato anakuja mwenezi anatajiwa kero moja pale jukwaani anafoka foka na kuitatua anapata ma marks kibao.
Naungana na mtoa mada kuwa mwenezi akichekewa ataanza kumpinga hata rais indirect maana kuna vi kauli anatamka live kuwa angekuwepo JPM ningefanya hivi tatizo mama ni mpole hiyo kauli ki falsafa sio sifa ni kuponda kiana.
Akichekewa ipo siku mtoto atamtamkia mama kuwa usinizingue kwanza naweza kukuzaa.
Wapenda sifa huwa wanawinda jamii ya watu wa chini waliofail kimaisha ambao akili za uchambuzi wa kauli za viongozi hawana.
MWENEZI KWA SASA ANAOGOPEKA KULIKO MAMA IPO SIKU KICHWA KITAZIDI MWILI MAANA WAHENGA WALISEMA NDAMA HUZALIWA NA MASIKIO BAADAE NDO PEMBE ZINAOTA NAHISI PEMBE ZA MWENEZI ZIPO SPEED KWENYE UOTAJI WAKE.
Mkuu umemwaga nyongo
 
Lakin saa inakuja,nayo sasa ipo,ambapo mtavuna mnachokipanda, kwa jicho la mbali mnamuona kama anakijenga chama, katika jicho la upeo wa roho anadhoofisha chama, bosi wake na Viongozi wakuu wengne na kujijenga yeye.

Anajisafisha na kujitanabaisha alikuwa ni mtu mwema, kiongozi shupavu na jasiri. Mpaka sasa anamuheshimu mwendazake na ndiye bosi wake wa moyo wa mda wote. Ndo mana anaishi falsafa zake na ndio anazohubiri, falsafa hizo zinalengo la kuwaibua wale walompenda na kufanya aonekane yeye ndo mrithi sahihi, Wale walompenda Mwendazake sasa watampenda huyu kwa heshima na kweli na watamuimba kama shujaa wao na hakuna atakae weza kuzuia.

Mama Falsafa yako ilitanabaisha watumishi wa serikali wasifanye kazi kwa woga, bali kwa weledi na nidhamu,ila falsafa inayohubiria majukwaani kwa sasa ni hofu na umaarufu wa mtu.kwa vile watumishi wengi wa serikali ni waoga, wamejengwa kuogopa wanasiasa,zile zama za woga zinarudi, na hakika watumishi na wateule wako wote wanamuogopa huyu kuliko kiongozi yeyote ktkt taifa hili, huku akijijenga kwa wale wananchi mnaowaita walalahoi na wanyonge wamuone ndiye kiongozi pekee mwenye udhubutu na kukemea maovu.

Hakika nakwambia ,watanzania wanataka kiongozi anayesema na kutenda, anayeonya na kukemea kweli kweli, anayewajibisha watumishi wa umma wazembe na wabadhirifu wa mali za umma na hii ndio beat anayotembea nayo Mwenezi.
Asipofundwa vizuri atakufarakanisha na wale uliokuwa umeanza kupatana nao,haki uliyoitengeneza na kuipigania itapotea. Mhe raisi binafsi naamini unafanya kazi nzuri sana na nakupenda kwa dhati kwa sababu unapenda haki na usawa kwa wote lakin nakuomba usiamni sana hawa wasaidizi wako,wengi wao wanaangalia vyeo na matumbo yao,usiwakumbatie sana kana kwamba bila wao nchi haitaenda,kuna wateule wako wanakuharbia halafu wanakusifia wakiamn utafurahishwa na hizo sifa.maagizo yako hawayatekelezi kabisa na wanafanya yao kwa mgongo wako.

Ole wenu msipotafta namna ya kumfunda, ipo siku yaja hamtaweza kuyazuia mafuriko, Kama lengo ni kumjenga kuwa kiongozi basi ni vema mkamjenga sawasawa kwa sababu kama atabadilika ni kiongozi mwenye udhubutu na huenda akaleta Mabadiliko katika nchi, anahulka ya kupenda Maisha ya kifahari lakini anachukia wengine wanaoyaishi, anapenda mamlka na kuamuru lkn hapendi anayemzidi mamlaka, anapenda kusaidia watu na anataka ajitanabaishe ni yeye pekee mwenye huruma na moyo wa kusidia watu, anapenda kuonekana ni mcha Mungu kuliko wanaosimama madhabahuni.

Maisha yameguwa magumu sana mtaani,Mama sekta bnafsi zinazofanya kazi na serikali hasa zinazolipwa na pesa kutoka HAZINA hazilipwi kwa wakati na kusababisha baadhi kuzorota au kufa hasa za wazawa,umeme umekuwa ni tatizo na kero kubwa sana kwa wananchi,watu wanategemea umeme kufanya shughuli zao zinazowaingizia kipato na kuendesha Maisha yao lkn umeme umekuwa ukikatika kila uchao jambo linalowafanya wananchi kuanza kuchukia serikali.zaidi Viongozi wa serikali wengi hasa wateule wako wanaishi Maisha ya kifahari na bila shaka kero ya umeme kwao haiwapati

Iwe jumapili njema kwenu,Maandiko yanasema ‘basi sasa msiwe watu wa kudharau,vifungo vyenu msije vikakazwa,maana nimeskia kwa Bwana,Bwana wa majeshi,Habari ya hukumu itakayotimizwa,nayo imekusudiwa.Ndugu acha wivu wa, kike.Kila mtu na, bahati yake ya, maisha.Wengi tu wamepita kwa kupata, bahati. Mwachie Makonda apate bahati yake.
 
Lakin saa inakuja,nayo sasa ipo,ambapo mtavuna mnachokipanda, kwa jicho la mbali mnamuona kama anakijenga chama, katika jicho la upeo wa roho anadhoofisha chama, bosi wake na Viongozi wakuu wengne na kujijenga yeye.

Anajisafisha na kujitanabaisha alikuwa ni mtu mwema, kiongozi shupavu na jasiri. Mpaka sasa anamuheshimu mwendazake na ndiye bosi wake wa moyo wa mda wote. Ndo mana anaishi falsafa zake na ndio anazohubiri, falsafa hizo zinalengo la kuwaibua wale walompenda na kufanya aonekane yeye ndo mrithi sahihi, Wale walompenda Mwendazake sasa watampenda huyu kwa heshima na kweli na watamuimba kama shujaa wao na hakuna atakae weza kuzuia.

Mama Falsafa yako ilitanabaisha watumishi wa serikali wasifanye kazi kwa woga, bali kwa weledi na nidhamu,ila falsafa inayohubiria majukwaani kwa sasa ni hofu na umaarufu wa mtu.kwa vile watumishi wengi wa serikali ni waoga, wamejengwa kuogopa wanasiasa,zile zama za woga zinarudi, na hakika watumishi na wateule wako wote wanamuogopa huyu kuliko kiongozi yeyote ktkt taifa hili, huku akijijenga kwa wale wananchi mnaowaita walalahoi na wanyonge wamuone ndiye kiongozi pekee mwenye udhubutu na kukemea maovu.

Hakika nakwambia ,watanzania wanataka kiongozi anayesema na kutenda, anayeonya na kukemea kweli kweli, anayewajibisha watumishi wa umma wazembe na wabadhirifu wa mali za umma na hii ndio beat anayotembea nayo Mwenezi.
Asipofundwa vizuri atakufarakanisha na wale uliokuwa umeanza kupatana nao,haki uliyoitengeneza na kuipigania itapotea. Mhe raisi binafsi naamini unafanya kazi nzuri sana na nakupenda kwa dhati kwa sababu unapenda haki na usawa kwa wote lakin nakuomba usiamni sana hawa wasaidizi wako,wengi wao wanaangalia vyeo na matumbo yao,usiwakumbatie sana kana kwamba bila wao nchi haitaenda,kuna wateule wako wanakuharbia halafu wanakusifia wakiamn utafurahishwa na hizo sifa.maagizo yako hawayatekelezi kabisa na wanafanya yao kwa mgongo wako.

Ole wenu msipotafta namna ya kumfunda, ipo siku yaja hamtaweza kuyazuia mafuriko, Kama lengo ni kumjenga kuwa kiongozi basi ni vema mkamjenga sawasawa kwa sababu kama atabadilika ni kiongozi mwenye udhubutu na huenda akaleta Mabadiliko katika nchi, anahulka ya kupenda Maisha ya kifahari lakini anachukia wengine wanaoyaishi, anapenda mamlka na kuamuru lkn hapendi anayemzidi mamlaka, anapenda kusaidia watu na anataka ajitanabaishe ni yeye pekee mwenye huruma na moyo wa kusidia watu, anapenda kuonekana ni mcha Mungu kuliko wanaosimama madhabahuni.

Maisha yameguwa magumu sana mtaani,Mama sekta bnafsi zinazofanya kazi na serikali hasa zinazolipwa na pesa kutoka HAZINA hazilipwi kwa wakati na kusababisha baadhi kuzorota au kufa hasa za wazawa,umeme umekuwa ni tatizo na kero kubwa sana kwa wananchi,watu wanategemea umeme kufanya shughuli zao zinazowaingizia kipato na kuendesha Maisha yao lkn umeme umekuwa ukikatika kila uchao jambo linalowafanya wananchi kuanza kuchukia serikali.zaidi Viongozi wa serikali wengi hasa wateule wako wanaishi Maisha ya kifahari na bila shaka kero ya umeme kwao haiwapati

Iwe jumapili njema kwenu,Maandiko yanasema ‘basi sasa msiwe watu wa kudharau,vifungo vyenu msije vikakazwa,maana nimeskia kwa Bwana,Bwana wa majeshi,Habari ya hukumu itakayotimizwa,nayo imekusudiwa.
Wewe ni mgeni wa siasa,unataka kusema kuwa wewe ndo unauelewa mkubwa ndani ya CCM kuliko waliompa cheo comredi Makonda!?. Kwamba bossi wa comredi Makonda hajui lolote juu ya sliyemteua?


Ni ngumu sana kumuelewa Makonda,kaa kwa kutulia ,acha awanyooshe,huwezi vumilis Option ni moja tu, hama chama!
 
Tanzania yetu
Tanzania na Afrika inamuhita MTU aina ya Makonda.
Makonda ni Joshua Wa Tanzania.
Hatutaki Vibaraka Wa Wazungu na waarabu wakamilishe Lengo Lao la kuuza Nchi.
Makonda ni mfano Wa Kuigwa.

Hii Nchi imevamiwa na kuporwa na Wageni Kila Kona .
Viwanda vya sukari zaidí ya Kumi Halafu sukari Bei Juu.
Tatizo ni nini .
Mabasi yapo mpaka special Hire Halafu Latra wanapandisha Bei Wakati Wa Krismass.walikua wanamnuafisha Nani na wanamkoma Nani Kama sio Mtanzania maskini.

Polisi na wanajeshi wanastaafu wanalipa pensheni kama mshahara mmoja Wa Mbunge na Waziri Halafu wanawaambia wajiandae kuwashughulikia wapinzanai kwenye Uchaguzi.
Wanasiasa ndani ya CCM ni wanafiki sana.
Paulo Makonda ndiye atakayeijenga CCM kwenye kizazi hiki kinachotamani Mapinduzi ya Kijeshi Ili Nchi iongozwe Kwa usawa Kwa Wote kufuata Sheria Kwa nguvu kubwa na kuwatiumua Wezi na wavamizi Wa Taifa hili waliojificha ndani ya CCM na kupewa madaraka makubwa.
Wanapora Mali za watanzania wanakimbizia ndugu Zao huko wanakotoka .

Makonda Hata akianzisha Chama chake anawashinda Wanasiasa Wote wabinafsi na wahuni.

Makonda ni kijjana makini sana kwenye siasa za Kiafrika.
Angekua nje ya mfumo angefaa sana kujiunga na Mwabukusi na Heche na Lisu na kuunda chama chao.

Kama Wananchi hasa vijana wenye nguvu wanamkubali Makonda na wapo tayari kwenda Naye Hao Wachache wanaolinda maslahi Yao Kwa unafiki Hawana cha kumfanya.
Vijana makini wapo ndani ya mifumo ya kiusalama na wanajua uimara na Umakini Wa Paulo Makonda. Hakuna Mtanzania anayelitakia mema na usalama Wa Taifa hili anayempinga Makonda.

Wanaomchukia Makonda ni madalali Wa Wahuni Toka nje na wanaangulia maslahi Yao na SIO usalama ,uimara na maendeleo ya Wananchi Wote.

Makonda Chapa Kazi.
Mama anakuamini na anajua unaweza kufanya kazi nzuri na 2025 CCM ikashinda.
CCM SIO MTU mmoja ni Chama cha wakulima na Wafanyakazi . Wakulima na Wafanyakazi wengi wanaodhulumiwa Haki zao wapo na Makonda kukijenga chama.
 
Wewe ni mgeni wa siasa,unataka kusema kuwa wewe ndo unauelewa mkubwa ndani ya CCM kuliko waliompa cheo comredi Makonda!?. Kwamba bossi wa comredi Makonda hajui lolote juu ya sliyemteua?


Ni ngumu sana kumuelewa Makonda,kaa kwa kutulia ,acha awanyooshe,huwezi vumilis Option ni moja tu, hama chama.
Aisee
 
Tanzania na Afrika inamuhita MTU aina ya Makonda.
Makonda ni Joshua Wa Tanzania.
Hatutaki Vibaraka Wa Wazungu na waarabu wakamilishe Lengo Lao la kuuza Nchi.
Makonda ni mfano Wa Kuigwa.

Hii Nchi imevamiwa na kuporwa na Wageni Kila Kona .
Viwanda vya sukari zaidí ya Kumi Halafu sukari Bei Juu.
Tatizo ni nini .
Mabasi yapo mpaka special Hire Halafu Latra wanapandisha Bei Wakati Wa Krismass.walikua wanamnuafisha Nani na wanamkoma Nani Kama sio Mtanzania maskini.

Polisi na wanajeshi wanastaafu wanalipa pensheni kama mshahara mmoja Wa Mbunge na Waziri Halafu wanawaambia wajiandae kuwashughulikia wapinzanai kwenye Uchaguzi.
Wanasiasa ndani ya CCM ni wanafiki sana.
Paulo Makonda ndiye atakayeijenga CCM kwenye kizazi hiki kinachotamani Mapinduzi ya Kijeshi Ili Nchi iongozwe Kwa usawa Kwa Wote kufuata Sheria Kwa nguvu kubwa na kuwatiumua Wezi na wavamizi Wa Taifa hili waliojificha ndani ya CCM na kupewa madaraka makubwa.
Wanapora Mali za watanzania wanakimbizia ndugu Zao huko wanakotoka .

Makonda Hata akianzisha Chama chake anawashinda Wanasiasa Wote wabinafsi na wahuni.

Makonda ni kijjana makini sana kwenye siasa za Kiafrika.
Angekua nje ya mfumo angefaa sana kujiunga na Mwabukusi na Heche na Lisu na kuunda chama chao.

Kama Wananchi hasa vijana wenye nguvu wanamkubali Makonda na wapo tayari kwenda Naye Hao Wachache wanaolinda maslahi Yao Kwa unafiki Hawana cha kumfanya.
Vijana makini wapo ndani ya mifumo ya kiusalama na wanajua uimara na Umakini Wa Paulo Makonda. Hakuna Mtanzania anayelitakia mema na usalama Wa Taifa hili anayempinga Makonda.

Wanaomchukia Makonda ni madalali Wa Wahuni Toka nje na wanaangulia maslahi Yao na SIO usalama ,uimara na maendeleo ya Wananchi Wote.

Makonda Chapa Kazi.
Mama anakuamini na anajua unaweza kufanya kazi nzuri na 2025 CCM ikashinda.
CCM SIO MTU mmoja ni Chama cha wakulima na Wafanyakazi . Wakulima na Wafanyakazi wengi wanaodhulumiwa Haki zao wapo na Makonda kukijenga chama.
Kwa hiyo makonda anatufaa zaid kuliko hao
 
Kwa hiyo makonda anatufaa zaid kuliko hao
Anatufaa sana mana pakiwa na Katiba ya mfumo Wa kifalme panahitaji usimamizi na maamuzi magumu ili kujenga nidhamu.

Katiba yetu haitoi nafasi Kwa wateule kuwajibishwa na MTU mwingene yeyote isipokua Rais au kufuata misingi ya Chama kushika hatamu na maelekezo ya vikao vya CCM.

Kwa Hali ilivyo Hata Tume ya Maadili ya Uongozi na PCCB wapo Kama kichaka tu cha ajira na mishahara mikubwa lakini havina nguvu Juu ya wateule Wa Rais.

Sasa akitokea MTU Wa kumpa Rais Taarifa za kweli na za wazi basi tumlinde sana mana Hii Nchi inaliwa Kwa speed kubwa sana na wanasiasa na familia Zao hasa Rais anapokua mpole na mwenye Huruma Kama Mama.

Tuchukulie mfano wewe Ukiwa na saiti Yako ya ujenzi Halafu wasimamizi na mafundi wakawa wanaiba sementi,nondo na vifaa vingine huku wakijenga Kwa kiwango cha chini; Halafu ukampata kijana mwenye uwezo Wa kuwadhibiti na kuwakemea Hao mafundi wahuni utawasikiliza wale wanaolalamika kuwa wanafokewa na kudhibitiwa au utafurahi kumpata msimamizi mzuri na jasiri.
 
Lakin saa inakuja,nayo sasa ipo,ambapo mtavuna mnachokipanda, kwa jicho la mbali mnamuona kama anakijenga chama, katika jicho la upeo wa roho anadhoofisha chama, bosi wake na Viongozi wakuu wengne na kujijenga yeye.

Anajisafisha na kujitanabaisha alikuwa ni mtu mwema, kiongozi shupavu na jasiri. Mpaka sasa anamuheshimu mwendazake na ndiye bosi wake wa moyo wa mda wote. Ndo mana anaishi falsafa zake na ndio anazohubiri, falsafa hizo zinalengo la kuwaibua wale walompenda na kufanya aonekane yeye ndo mrithi sahihi, Wale walompenda Mwendazake sasa watampenda huyu kwa heshima na kweli na watamuimba kama shujaa wao na hakuna atakae weza kuzuia.

Mama Falsafa yako ilitanabaisha watumishi wa serikali wasifanye kazi kwa woga, bali kwa weledi na nidhamu,ila falsafa inayohubiria majukwaani kwa sasa ni hofu na umaarufu wa mtu.kwa vile watumishi wengi wa serikali ni waoga, wamejengwa kuogopa wanasiasa,zile zama za woga zinarudi, na hakika watumishi na wateule wako wote wanamuogopa huyu kuliko kiongozi yeyote ktkt taifa hili, huku akijijenga kwa wale wananchi mnaowaita walalahoi na wanyonge wamuone ndiye kiongozi pekee mwenye udhubutu na kukemea maovu.

Hakika nakwambia ,watanzania wanataka kiongozi anayesema na kutenda, anayeonya na kukemea kweli kweli, anayewajibisha watumishi wa umma wazembe na wabadhirifu wa mali za umma na hii ndio beat anayotembea nayo Mwenezi.
Asipofundwa vizuri atakufarakanisha na wale uliokuwa umeanza kupatana nao,haki uliyoitengeneza na kuipigania itapotea. Mhe raisi binafsi naamini unafanya kazi nzuri sana na nakupenda kwa dhati kwa sababu unapenda haki na usawa kwa wote lakin nakuomba usiamni sana hawa wasaidizi wako,wengi wao wanaangalia vyeo na matumbo yao,usiwakumbatie sana kana kwamba bila wao nchi haitaenda,kuna wateule wako wanakuharbia halafu wanakusifia wakiamn utafurahishwa na hizo sifa.maagizo yako hawayatekelezi kabisa na wanafanya yao kwa mgongo wako.

Ole wenu msipotafta namna ya kumfunda, ipo siku yaja hamtaweza kuyazuia mafuriko, Kama lengo ni kumjenga kuwa kiongozi basi ni vema mkamjenga sawasawa kwa sababu kama atabadilika ni kiongozi mwenye udhubutu na huenda akaleta Mabadiliko katika nchi, anahulka ya kupenda Maisha ya kifahari lakini anachukia wengine wanaoyaishi, anapenda mamlka na kuamuru lkn hapendi anayemzidi mamlaka, anapenda kusaidia watu na anataka ajitanabaishe ni yeye pekee mwenye huruma na moyo wa kusidia watu, anapenda kuonekana ni mcha Mungu kuliko wanaosimama madhabahuni.

Maisha yameguwa magumu sana mtaani,Mama sekta bnafsi zinazofanya kazi na serikali hasa zinazolipwa na pesa kutoka HAZINA hazilipwi kwa wakati na kusababisha baadhi kuzorota au kufa hasa za wazawa,umeme umekuwa ni tatizo na kero kubwa sana kwa wananchi,watu wanategemea umeme kufanya shughuli zao zinazowaingizia kipato na kuendesha Maisha yao lkn umeme umekuwa ukikatika kila uchao jambo linalowafanya wananchi kuanza kuchukia serikali.zaidi Viongozi wa serikali wengi hasa wateule wako wanaishi Maisha ya kifahari na bila shaka kero ya umeme kwao haiwapati

Iwe jumapili njema kwenu,Maandiko yanasema ‘basi sasa msiwe watu wa kudharau,vifungo vyenu msije vikakazwa,maana nimeskia kwa Bwana,Bwana wa majeshi,Habari ya hukumu itakayotimizwa,nayo imekusudiwa.
Hili nililisema tangu zamani kwamba Makonda ni timu Sukuma Gang na kwamba baada ya kupenya kuingia uongozini, ataanza mchakato wa kumuangusha mama kupitia chawa wengi wa kundi hili waliomo serikalini. Ikifika 2025 tayari kundi hili litakuwa limeota mizizi ya kutosha. Halitaweza kurudishwa nyuma wala kutishwa kwa vyovyote vile na timu ya mama.

Sasa ni wakati muafaka timu ya mama imshughulikie mapema kiongozi huyu wa Sukuma Gang kabla hajaleta madhara kwa chama, serikali na kundi la mama. Wasipoziba ufa mapema, watakuja kujenga ukuta.
 
Back
Top Bottom