Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,192
- 39,530
Sasa wewe flagship ya 2018 ndo useme sio bora kulinganisha na hizo toys za A50?
You cant be serious!!
You cant be serious!!
nakuwekea tena copy and paste unioneshe niliposema A 50 ni flagship
mimi simu nanunua kwa kuangalia mwaka iliyotoka .. hata ka bajet inanibana.. ni bora ninunue simu ya 2019 ya laki 6 au 7 kuliko kununua flagship ya mwaka 2018..
mwaka huu naenjoy A 50 sana. my friend ana s 8 ya mwaka jana sijui juzi.. anaona android yake haina ladha kama android iliyochanganywa na one ui ya mwaka huu 2019 kwenye A 50
wakati kiuhalisia a 50 ni cheap kuliko s 8