mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,722
- 9,865
Hakimu Mfawidhi, Kwa hiyo ukiondoa kalamu kuhusu ubora, features na bei zake ni equivalent?
Kwanini?Fanya yote lakini usije ukabeba note 4
Mkuu tofaut kati ya Note series na S series ni ipi? maana nataka kuchukua Note 9 ama S9+ nipe elimu kuhusu hizo simu mbili za SamsungNzuri kabisa ni note 10+ sema andaa 2m+
Mimi ninatumia Note edge mwaka wa pili iko poa hiii ninatumia japo ni refurbished lakini haijanisumbua nataka niuze nitafute isiyo refurbished.note 4 ni takataka. niliwahi kununua moja nikaapa kwamba sitawahi kurudia...
Kwa matumizi ya kawaida kuanzia Note 8 na S8 mpaka Note 10 na s10 ni sawa. Mara nyingi zinakuwa na processor moja, configuration za RAM na internal storage zinazofanana.Mkuu tofaut kat ya note series na s series ni ipi, maana nataka kuchukua note 9 ama s9+ nipe elimu kuhusu hizo simu mbili za Samsung
au chukua Note 8 plus utafurahi zaidi. Hutajuta mkuu.Asante Sana kwa elimu naona kwa bajeti yangu nichukue Samsung Galaxy S8 itanitosha.
note 4 ni takataka. niliwahi kununua moja nikaapa kwamba sitawahi kurudia...
Kuna note 8 plus ya samsung?au chukua Note 8 plus utafurahi zaidi. Hutajuta mkuu.
ah hii ume edit wewe bana mimi siwezi kuandika hivi kabisaaKuna note 8 plus ya samsung?
Atakuwa haja update simu tu.mimi simu nanunua kwa kuangalia mwaka iliyotoka .. hata ka bajet inanibana.. ni bora ninunue simu ya 2019 ya laki 6 au 7 kuliko kununua flagship ya mwaka 2018..
mwaka huu naenjoy A 50 sana. my friend ana s 8 ya mwaka jana sijui juzi.. anaona android yake haina ladha kama android iliyochanganywa na one ui ya mwaka huu 2019 kwenye A 50
wakati kiuhalisia a 50 ni cheap kuliko s 8
mimi simu nanunua kwa kuangalia mwaka iliyotoka .. hata ka bajet inanibana.. ni bora ninunue simu ya 2019 ya laki 6 au 7 kuliko kununua flagship ya mwaka 2018..
mwaka huu naenjoy A 50 sana. my friend ana s 8 ya mwaka jana sijui juzi.. anaona android yake haina ladha kama android iliyochanganywa na one ui ya mwaka huu 2019 kwenye A 50
wakati kiuhalisia a 50 ni cheap kuliko s 8
A50 sio flagship.... huwezi ilinganisha na S8
wapi nimesema A 50 ni flagship?
Soma bandiko lako mkuu