Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,542
- 12,404
Waungwana habari za jioni!
Leo nikiwa napumzika baada ya mihangaiko ya kutwa nzima nilipata wasaa wa kukaa na kupumzisha koo kwa kupata moja moto moja baridi!
Tukiwa tunabadilishana mawazo na jamaa zangu hoja ikazuka ipi ni sahihi mkiwa kwenye ndoa hasa pale mkiwa na watoto, je ni sahihi kumwita mke/mume wako jina lake la kwanza au la mwisho au umwite kwa jina la baba/mama nanii!
Utata ukawa wengine wanadai si sahihi kabisa kumwita mwenzi wako kwa jina lake kama mna watoto instead mwite kwa Baba/Mama nanii kwa kuwa ndio heshima.
Nikasema ngoja nilete hii hoja hapa nipate usahihi maana hapa ni jungu kuu!
Naomba kuwasilisha kwa michango.
Leo nikiwa napumzika baada ya mihangaiko ya kutwa nzima nilipata wasaa wa kukaa na kupumzisha koo kwa kupata moja moto moja baridi!
Tukiwa tunabadilishana mawazo na jamaa zangu hoja ikazuka ipi ni sahihi mkiwa kwenye ndoa hasa pale mkiwa na watoto, je ni sahihi kumwita mke/mume wako jina lake la kwanza au la mwisho au umwite kwa jina la baba/mama nanii!
Utata ukawa wengine wanadai si sahihi kabisa kumwita mwenzi wako kwa jina lake kama mna watoto instead mwite kwa Baba/Mama nanii kwa kuwa ndio heshima.
Nikasema ngoja nilete hii hoja hapa nipate usahihi maana hapa ni jungu kuu!
Naomba kuwasilisha kwa michango.