Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,794
- 808
HELLO JF, mi nimetatizika na hili jambo la ndoa kati ya kimila na serikali hivyo ningependeza kujua maana kwa faida na hasara zipatikanazo katika ndoa hizi ili niwe makini nisije kutengeneza bomu la ndoa manake mi bado bachela.! wenye kujua tafadhali mniweke wazi.