Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Wakuu JF Nawauiiza Swali ipi ni bora kati ya hizi Tatu WINDOWS XP WINDOWS VISTA na WINDOWS 7? Na kwanini imekuwa Bora zaidi ya nyingine? Towa ufafanuzi tafadhali.
nimeshawahi kutumia vista na xp, kwa mtazamo wangu xp iko bomba klk vista...ina-load haraka, haisuimbui sana kama vista inagoma goma ukiweka baadhi ya software, vista inachelewa kuload, vista ina security settings nyingi sana, vista inachukua nafasi kuliko xp, so for me xp iko juu...
Uko sawa mkuu,windows 7 ipo poa kuliko zote,inaload drivers karibu zote,ipo poa sana then xp follows!!Windows 7 bora kuliko zote. Vista inahitaji uwe na CPU yenye nguvu na RAM ya kumwaga na hardware (drivers) ziwe compatible kama vitu hivyo unavyo ni bora kuliko XP, kama una computer ya zamani basi XP itakufaa.
Huo ni uelewa wako tuu,but xp is better than vista,like it or not!!Kwa fikra za haraka teknologia ni ''evolution'', nina maana kwamba ya nyuma ndiyo inapelekea ya mbele kutokea. Hivyo vista ilitengenezwa kukabiliana na mapungufu ya XP, hivyo XP haiwezi kuwa bora kuliko Vista. Vilevile Window7 imetolewa kukabiliana na mapungufu ya Window Vista.
Hivyo mtu anayekushauri kutumia Xp ni sawa na anakurudisha nyuma, siyo muda mrefu software nyingi zitatolewa kwa ajili ya Window7 sasa sijui wewe wa Xp utafanya nini na Computer yako. Unless kwa matumizi ya nyumbani tena kwa nchi kama yetu ya Bongo.
nakubaliana nawe kwa 100%huo ni uelewa wako tuu,but xp is better than vista,like it or not!!
Sijawahi kutumia Window 7 but XP ni bora kuliko Vista
....64bit - compatibility with hardware and software?