jaman nashindwa kuunganisha net nimeenda had ofisi za makampun ya cm hapa MORO tatizo limeshindikana,nilijalibu kuhamisha vtu toka kwenye pc vinaingia kama file mfano miziki,inaonesha free space ktk phone memory ni 64gb lkn ukichomeka kwa pc inaonesha 4gb.nni uvumbuz wa hayo yote?