Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Hii picha nilipiga kabla sijabadili mtandao from AT&T to Airtel
Haya tuwekee inayoonesha AirTel, usije ukatusanii tukaingia magharama ya kuflash
Hii picha nilipiga kabla sijabadili mtandao from AT&T to Airtel
Jamani bei ni TZS 450,000/- Pungufu mnaongea.
jamani bei ni tzs 450,000/- pungufu mnaongea.
mkuu niko Interested kuinunua lakini nataka kujua kwanza kama Ipo unlocked na ni unlock gani maana hiyo Baseband ya simu 05.16.02 sio unlockable, au kama ni Factory Unlocked kama ulivyoulizwa hapo juu....Nauza iPhone 3G's iko kwenye hali nzuri nimeitumia miezi mitatu tu.
Anayetaka anipm tufanye biashara.