Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa bei ya Tshs 110,000
Nimeitumia kwa muda wa miezi 3 tu bado ina upya wake na boksi lake pia bado lipo
Haina tatizo la aina yoyote na haijawahi kwenda kwa fundi ila naiuza ili nitatue changamoto zangu
Ukiiona ndo utaamini ninachoeleza hapa
Karibu tufanye biashara
Napatikana Mbezi Louis
Simu : 0764368588
Nimeitumia kwa muda wa miezi 3 tu bado ina upya wake na boksi lake pia bado lipo
Haina tatizo la aina yoyote na haijawahi kwenda kwa fundi ila naiuza ili nitatue changamoto zangu
Ukiiona ndo utaamini ninachoeleza hapa
Karibu tufanye biashara
Napatikana Mbezi Louis
Simu : 0764368588