halafu ukiniona nilivyo leo hata hiyo picha naweza kuikana kuwa siyo yangu!!!
Huyo mtoto anatia huruma wallah
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
mwaJ future yake inaanzia hapaNikiitazama hii picha napata mengi sana ya kuandika kuhusu huyo mtoto ila yote ni ya mashaka tu. I just hope amepata/atapata maisha mazuri ukubwani mwake.
mwaJ future yake inaanzia hapa
hapo atakuwa anajiuliza maswali mengi sana na hajui mustakabali wa hayo ni upi wala hajui maisha yake yatakuwaje
yaani ungepata nafasi ya kujua anachowaza huyo mtoto ni balaa