Eshy m.s
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,926
- 1,559
Excel bado hajawa mwanacham halali wa #teamrafiki bado hajakidhi vigezo yupo kwenye uchunguzi so asikurubuni kwa kitu chochote. mpendwa rafiki
kuuumbeeee! sawa nimekuelewa rafiki
Excel bado hajawa mwanacham halali wa #teamrafiki bado hajakidhi vigezo yupo kwenye uchunguzi so asikurubuni kwa kitu chochote. mpendwa rafiki
you too friendThanks my friend, stay blessed
karibu,Waoooh thanks jamani
ahsante pumzika mwaya sisi wengine mapopo.kuuumbeeee! sawa nimekuelewa rafiki
ahsante Eshy! mimi ni mtuhumiwa lakini!!! si unaona ninavyopigwa mawe kila kona!! yani kuanzia Ntuzu, utafiti mzee wa busara, Lady niece katibu mpaka Mndengereko mwenyekiti... wote wananikodolea jicho!!
sijui nna damu ya kunguni! looo!
kuuumbeeee! sawa nimekuelewa rafiki
why you???????????,,,, sio bure utakuwa una damu ya kunguni weweee
ahsante Eshy! mimi ni mtuhumiwa lakini!!! si unaona ninavyopigwa mawe kila kona!! yani kuanzia Ntuzu, utafiti mzee wa busara, Lady niece katibu mpaka Mndengereko mwenyekiti... wote wananikodolea jicho!!
pole kwa hilo
sijui nna damu ya kunguni! looo!
we umetoa wapi netiweki kwenye hali hii ya hewa...? mwache Eshy m.s apumzike kidogo aisee!!
muoneshe upendo wa timu rafiki bana!
why you???????????,,,, sio bure utakuwa una damu ya kunguni weweee
kwa hiyo unanipinga na wewe besti?
aisee nipe baraka niivue hii damu! khaaa!!! au nikimbie kama mwezi hivi bila kuonekana home?
kimbia tu ka vipi, bye mi nalala bhanaaisee nipe baraka niivue hii damu! khaaa!!! au nikimbie kama mwezi hivi bila kuonekana home?
hivi.. Mndengereko, Lady niece , Ntuzu na utafiti.. hivi mtajisikiaje nikifa ghafla na donge lenu moyoni?
mtajibu nini mbele za aliyewatuma kusambaza upendo?
miss neddy wherever you are.... i love you my queen!! please come here!!
kaka im glad umekuja wewe unaingia moja kwa moja kwenye #teamrafiki kwa kupitia mgongo wangu karibu sana,jamanii naombeni urafik mwenzenu.....
ni aina ya program ya kufanyia hesabu na kuingizia data kwenye computer..haya mkuu.. wamjua excel lakini? waweza muelezea kidogo?
utafiti na Mndengereko, hivi huu ni upendo kweli jamani natishiwa maisha?
mamii miss neddy usiponiona kwenye castle yangu ujue niko mabwepande aisee! duh.. ntuzu we ngoja!
nishawapa go ahead mpaka utakaposalimu amri n kuwa teamrafiki