Wakuu habari
Mimi ni software engineer by profession, nimetengeza software na Application za simu kwa ajili ya hospitali, clinics na medical center) ni aina ya software ambayo inatumika mahospitalini kuingiza data za wagonjwa (treatments record pamoja payment records)
****Im looking for investor patner/ co founder in exchange to company shares to cover up the some cost before launching the business
Business model: software as service solution (Saas) so mteja anakuwa analipa kulingana na huduma
Example
1)First : One time payment wakati hospital inafanya registration ili kutumia software.
2)Second: Hospitals, clinics , dispensaries)
monthly fees coz of daily data upload kwenye software, so users wanakuwa charged
(This is how most hospital pays for their software vendors to use hospital management software)
Market overview
Current market Software Cost for registration per one hospital is between Tsh 1.0 mil - 5.0 mil plus
Monthly subscription rates
150,000- 750,000/- per registered hospital .
Software yangu ina support unlimited number of hospital and healthcare center pia inaweza tumika popote nje na ndani ya Tanzania
3) software ni cloud based system , hospital admin/manager anaweza ku access hospital operations pamoja na reports popote alipo kwa ku login kwenye software .
Huduma zilizopo kwenye software
a)Human resources management department
b)Accounts department
c)Pharmacy management
d)Daily patience registration report includes payment
e)Medicine management
f)Hospital employees (doctor,receptionist,lab technician, etc wanaweza kutumia hata simu ku access hii software na kufanya kazi endapo kuna tatizo la umeme or incase of any network problem within hospital.
e)Blood donor database and many more features
Contact via email kwa maelezo zaidi ya hii software pamoja na screenshoot za software ilivyo
4)Milestone
a) Software iko developed tayari, but not installed on live server ili kuanza kazi
b)application ya simu (doctor app) pamoja na (patient app) zipo tayari bado kuhost playstore na appstore .
The unique features about this software compared to other software zilizopo
kwenye soko la hospital management software
1)doctor anaweza kufanya online consultation kwa mobile app
2)mgonjwa anaweza book appointment na doctor online ku pitia mobile app, view history ya matibabu yake , pia kufanya malipo online kwa kutumia patient app via visa card , mastercard etc
3)Support Unlimited number of Hospitals
****Im looking for investor patner/ co founder in exchange to company shares to cover up the some cost before launching the business .
1) Live hosting for both online platform and mobile apps ili kuanza operation rasmi .
2)Initial office setup cost pamoja na 2-5 employee salary for atleast first six months kwa upande wa
a)sales and marketing team
b)IT support, and office admin
About uandishi please ignore its just rough description
Natafuta only maximum of 3 investor/co founder either companies or personal investors
more details on business plan, Sales/profit projection and it’s general technology used on software.
Pia kwa ushauri na maoni
Please send email: marleyjobs1at gmaildotcom
Subject line (Investor For Hospital Software)
Current Physical Location: Arusha Tz.
Tunaweza fanya short online meeting via zoom but kama upo arusha tunaweza onana physically
Karibu
Mimi ni software engineer by profession, nimetengeza software na Application za simu kwa ajili ya hospitali, clinics na medical center) ni aina ya software ambayo inatumika mahospitalini kuingiza data za wagonjwa (treatments record pamoja payment records)
****Im looking for investor patner/ co founder in exchange to company shares to cover up the some cost before launching the business
Business model: software as service solution (Saas) so mteja anakuwa analipa kulingana na huduma
Example
1)First : One time payment wakati hospital inafanya registration ili kutumia software.
2)Second: Hospitals, clinics , dispensaries)
monthly fees coz of daily data upload kwenye software, so users wanakuwa charged
(This is how most hospital pays for their software vendors to use hospital management software)
Market overview
Current market Software Cost for registration per one hospital is between Tsh 1.0 mil - 5.0 mil plus
Monthly subscription rates
150,000- 750,000/- per registered hospital .
Software yangu ina support unlimited number of hospital and healthcare center pia inaweza tumika popote nje na ndani ya Tanzania
3) software ni cloud based system , hospital admin/manager anaweza ku access hospital operations pamoja na reports popote alipo kwa ku login kwenye software .
Huduma zilizopo kwenye software
a)Human resources management department
b)Accounts department
c)Pharmacy management
d)Daily patience registration report includes payment
e)Medicine management
f)Hospital employees (doctor,receptionist,lab technician, etc wanaweza kutumia hata simu ku access hii software na kufanya kazi endapo kuna tatizo la umeme or incase of any network problem within hospital.
e)Blood donor database and many more features
Contact via email kwa maelezo zaidi ya hii software pamoja na screenshoot za software ilivyo
4)Milestone
a) Software iko developed tayari, but not installed on live server ili kuanza kazi
b)application ya simu (doctor app) pamoja na (patient app) zipo tayari bado kuhost playstore na appstore .
The unique features about this software compared to other software zilizopo
kwenye soko la hospital management software
1)doctor anaweza kufanya online consultation kwa mobile app
2)mgonjwa anaweza book appointment na doctor online ku pitia mobile app, view history ya matibabu yake , pia kufanya malipo online kwa kutumia patient app via visa card , mastercard etc
3)Support Unlimited number of Hospitals
****Im looking for investor patner/ co founder in exchange to company shares to cover up the some cost before launching the business .
1) Live hosting for both online platform and mobile apps ili kuanza operation rasmi .
2)Initial office setup cost pamoja na 2-5 employee salary for atleast first six months kwa upande wa
a)sales and marketing team
b)IT support, and office admin
About uandishi please ignore its just rough description
Natafuta only maximum of 3 investor/co founder either companies or personal investors
more details on business plan, Sales/profit projection and it’s general technology used on software.
Pia kwa ushauri na maoni
Please send email: marleyjobs1at gmaildotcom
Subject line (Investor For Hospital Software)
Current Physical Location: Arusha Tz.
Tunaweza fanya short online meeting via zoom but kama upo arusha tunaweza onana physically
Karibu