farida umeolewa ? una umri gani je uko dar ? karibu sana dada/mama/bibi/kimwana/dear/
Heshima zenu wakuu,
Namtambulisha Admin mpya; dada yetu Farida, natumaini mtampa ushirikiano wa karibu katika utendaji wake.
Ahsante
Mchungaji nilifikiri nitapata baraka za kichungaji ,sina uwezo wa kutoa ngombe hao ila nina jambo naweza kuahidi na kulitekeleza
Sasa Ndugu yangu Shy, Wewe hujaoa ))? Farida ni dada yangu, kama hujaoa na unataka umuoe ninahitaji Ng'ombe 70 wa Maziwa, Mbozi 30 wa maziwa na Kondoo 10 wa Australia.
Upo hapo? Karibu sana kwenye ukoo wetu.
Sasa Ndugu yangu Shy, Wewe hujaoa ))? Farida ni dada yangu, kama hujaoa na unataka umuoe ninahitaji Ng'ombe 70 wa Maziwa, Mbozi 30 wa maziwa na Kondoo 10 wa Australia.
Upo hapo? Karibu sana kwenye ukoo wetu.
Yakhe,Ramadhani yote hii mkuu? duh! haya
Ndo 'wanampokea' kwa style ya 'kumtokea' akiwa na upendeleo basi itakuwa balaa!Duh!! Intro imezua mambo!! Watu wameacha kumpokea "Farida", wameingia kwenye mengine!