Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Hivi naomba nijulishwe,usaili kwa walioomba kazi[nikiwemo] katika jeshi la magereza ni lini,na tutajuaje kuwa leo ndo usaili? Maana siku tunapeleka barua za maombi walikuwa wanakusanya tu na kutwambia turudi home. So mwenye info za kutosha kuhusu hili,anidadavulie.