Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 429
- 61
Wadau nimetumiwa sms kuhudhuria iterview tarehe 13 Nov na post ya group lending na benki tajwa hapo juu,kuna mwingine amepata ujue huo?HQ ya hiyo benki ipo wapi?
Wadau nimetumiwa sms kuhudhuria iterview tarehe 13 Nov na post ya group lending na benki tajwa hapo juu,kuna mwingine amepata ujue huo?HQ ya hiyo benki ipo wapi?
Samahani sana wakuu,simu ilizingua,hata hivyo sikwenda tena,niliambiwa eti mshahara laki tatu na ni kuhangaika mitaani kutafuta wateja,sio kwamba ni kazi mbaya,ila eneo nililokuwepo na muda walionipa ulikuwa mdogo sana.lakini pia mwenye kujua vema anaweza akatupa ukweli zaidi