Heshima kwenu ninyi nyote,
Naomba kuuliza , Benki ya mkulima ipo? Na Kama ipo iko wapi? Na uko iliko inafanya kazi kweli kwa ajili ya mkulima?
Kilimo kinaitaji mtaji wa kutosha na wakulima wengi wa chini huo mtaji hawaupati kwa urahisi kutokana na masharti mengi kutoka benki zingine,
Naomba pia kujua namna ya kupata mkopo kutoka benki ya mkulima Kama kweli iyo benki ipo
Naomba kuuliza , Benki ya mkulima ipo? Na Kama ipo iko wapi? Na uko iliko inafanya kazi kweli kwa ajili ya mkulima?
Kilimo kinaitaji mtaji wa kutosha na wakulima wengi wa chini huo mtaji hawaupati kwa urahisi kutokana na masharti mengi kutoka benki zingine,
Naomba pia kujua namna ya kupata mkopo kutoka benki ya mkulima Kama kweli iyo benki ipo