Ingekuwa vipi kama mkeo naye akakugeuzia kibao

usemi wa kunya aje kuku akinya bata kaharisha ndio unaotusumbua hapa!! kwakweli mwanamke amekandamizwa na kudharauliwa miaka mingi sana, suala la amwaname kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ukiachilia mbali kwa misingi ya dini au kimila kwa wale ambao wanaruhusiwa polygamy.

suala la kuwa na wanawake wa nje lilikuwa ni kawaiada na mwanamke nafasi yake ni kusamehe na kukubali matatizo yoe ya tokanayo na mume kuwa na Kibint kama vile kukosa unyumba, matumizi nyumbani nk, hakuna aliyekuwa akipiga kelele mpaka ikafikia kuwa sio tu kuwa na vibint bali nyumba ndogo ambayo inakuwa na sauti kushinda hata nyumba kubwa!! sasa akina mama nao wameamka maana kama sabau ilikuwa ni kwamba UNAKOSA NINI PESA YA MATUMIZI HUPATI pindi atakapohoji, sasa wananawake nao wamejitahidi kielimu, ajira na uchumi kwahiyo jibu hilo alihold nao wanaweka nyumba ndogo, wakulaumiwa ni walioanzisha hayo, wajirekebishe ili masiha yaende yatakiwavyo!!
 
Kumekuwepo na majadiliano ya kutosha sana humu jamvini kuhusu matatizo ya wanawake na waume au wapenzi wao - Kutelekezwa, kuletewa nyumba ndogo,kuachiwa mzigo wa kulea familia, kutumiwa n.k.Pia tumejadili kuhusu kwanini wanaume hawapendi ushirika kwenye mapenzi.

Tunajua kabisa kuwa tamaduni, mila, desturi, dini vyote vinaamrisha wanandoa kuheshimu ndoa zao.Pamoja na hayo ukweli unabakia kuwa wanandoa hutetereka katika kuheshimu viapo vyao.Msisitizo zaidi uko katika kuwataka wanawake wajiheshimu na inashangaza kuwa msisitizo hauko zaidi katika kuwabana wanaume.Kutokana na hili, wanaume nao wamekuwa wakilega zaidi katika kuheshimu ndoa au mahusiano yao.

Matokeo yake ni kuwa watu wamekuwa wakifumbia macho suala zima la kutoka nje ya ndoa.Hakuna mwanamke anakubali kuwa wanawake nao wanatetereka , na hata wanaume nao wanajidanganya kuwa wapenzi wao au hata wake zao hawatoki nje ya ndoa.Ila hapohapo tunasikia ati vipimo vya DNA vimethibisha kuwa idadi kubwa ya watoto waliozaliwa na wazazi waliokuwa na mabishano kuhusu nani baba wa mtoto - wameonekana siyo wa akina baba hao walengwa.

Je, Mwanaume anayetoka nje ya ndoa na mke wa mtu au mpenzi wa mtu mwingine anajisikia vipi pale mkewe akichukuliwa na mwanaume mwingine?
Dada yangu WoS;

We live in mfumo dume na mara nyingi sie akina baba huumia zaidi tukichukuliwa lakini when we have them right, inakua ffreessh tu!!! i think ni kwasababu wengi wetu huamini kwamba mungu alivyotuumba ni kwa mwanamke mmoja kuwa na mwanaume mmoja but not mwananume mmoja kuwa na mwananmke mmoja
 
Dada yangu WoS;

We live in mfumo dume na mara nyingi sie akina baba huumia zaidi tukichukuliwa lakini when we have them right, inakua ffreessh tu!!! i think ni kwasababu wengi wetu huamini kwamba mungu alivyotuumba ni kwa mwanamke mmoja kuwa na mwanaume mmoja but not mwananume mmoja kuwa na mwananmke mmoja

Hii thread umeiibua wapi tena Acid? Tuko kisiasa zaidi japo siasa nazo na hasa kampeni za mwaka huu zinatuonyesha kuwa mambo haya ya mahusiano ni kitovu katika siasa.Mara mtu kamwibia mwingine mke, mara girlfriend mara sijui nini!
Back to the topic....hapo kwenye nyekundu pamenipa maswali mengi:
Watu wengi huamini - ni watu gani hao?
Mungu aliumba mwanaume awe na wake wangapi? Kama ni suala la imani basi nami imani yangu inaniambia kuwa Mungu hakumuumbia mwanaume "wanawake" bali alimuumbia "mwanamke" - angependa toka mwanzo mwanaume awe na wake wengi, basi angewaumba zaidi ya mmoja toka pale mwanzo.Hii inanipeleka mbali zaidi kuona ni kwa vipi mwanaume aliweza kukiuka toka mwanzo na kuanza "kujilimbikizia" wanawake kutokana na tamaa tu na wala siyo ulazima. Katika utafiti kidogo nilioufanya, nimegundua kuwa mwanaume anaweza kuwa na wanawake utitiri akiwapanga wote kwa wakati mmoja na kujisikia kuwa anawapenda wote ( kitu ambacho kina utata), ilhali mwanamke mwenye mahusiano na mtu zaidi ya mmoja, mara nyingi inatokana na ulazima ( necessity ) zaidi - kimapato, emotional need ya kupendwa, hitaji la usalama na mara nyingi hupelekea kuegemea kwa huyo mpenzi mpya kuliko kuwa nao sambamba- hii inaweza kujadiliwa zaidi.Kwa kifupi, huwezi kujidanganya kuwa uko na mitala iliyo perfect, huwezi kujidanganya kugawa penzi sawasawa, huwezi kujidanganya kuwa maadam watu wengi wanaamini au kufikiri kuwa wanaume wameumbwa kuwa na wake wengi, na wanawake kuwa na mwanaume mmoja basi hii ni dawa ya kukomesha mahusiano - ziada. Ukweli umejidhihirisha kuwa kuna tofauti baina ya tunachofikiri na kuamini na hali halisi ya mambo yalivyo. Dawa ya kukomesha tatizo - kama ni tatizo ni kwa wote kujizuia na vile vitendo vyenye kupelekea liwepo ombwe katika mahusiano, ombwe litakaolovuta hitaji la kuziba kwa style yoyote ile. "Mwanaume mpende na kumheshimu mkeo, na mke mpende na kumheshimu mumeo" - hii ndio dawa pekee.
 
kutoka nje ya ndoa ni hulka tu alizonazo mwanandoa yeyote wala si suala la mahusiano kuharibika ndani ya nyumba tuwe wakweli wala tusisingizie vitu vingine hapo ni tabia mbaya tu ya mtoka nje awe mke au mme
 
Kwa wanaume tu: Hivi mnadhani kuna mwanamke anayependa kuchukuliwa mumewe?

Jibu ni NDIO!!

Mila na Desturi zetu waafrika zinaruhusu wanawake kumshea mwanaume bila kinyongo. Wingi wa ndoa za Mitala ambazo hudumu bila purukushani baina ya wanawake ni uthibitisho kuwa wanawake wako radhi kuchukuliwa wanaume zao.....Tena kuna wanawake wengini huwachagulia waume zao wanawake wa kuwaoa.

Upande wa pili, sijawahi kushuhudia wala kusimuliwa kuwa kuna mwanamke aliyewahi kuolewa na wanaume wawili na wanaume hao wakaafikiana jambo hilo.

Hivi niko off topic au? Hizi hangover nyingine zinafanya makusudi sasa!!:becky::becky:
 
kutoka nje ya ndoa ni hulka tu alizonazo mwanandoa yeyote wala si suala la mahusiano kuharibika ndani ya nyumba tuwe wakweli wala tusisingizie vitu vingine hapo ni tabia mbaya tu ya mtoka nje awe mke au mme

mara nyingi ukijaribu kuangalia mapenzi ya wanandoa hasa wa kiafrika(especially Watanzania) unakuta mahusiano yapo zaidi katika kutimiza majukumu na wala si romantic love!Baba ndani ya nyumba anaona jukumu lake kubwa ni kutimiza mahitaji ya familia yake kuanzia chakula, malazi , afya ,shule kwaajili ya watoto na mengine yote yanayohusu familia!Na unakuta mama anafurahi kuwa na mwanaume ambae anajua kuijali familia yake katika mahitaji hayo ya kila siku!Suala la kupeana unyumba lipo na ni muhimu lakini kwa ukaribu zaidi ukichunguza mahusiano ya wanandoa hayajakaa sana katika mtizamo wa romantic love kama walivyo wenzetu wazungu!Ndo maana mwanaume akitaka kupata raha fulani ya kusex anaona ni bora atoke nje kwa mwanamke ambae anaweza akamshibisha kwenye sex kuliko mke wake kwasababu tayari yule wa kwake anaonekana kama ni mama wa nyumbani na majukumu yake hayajabase zaidi kwenye kumshibisha mume kwenye sex! (sorry, ni mtazamo tu)
 
Hii thread umeiibua wapi tena Acid? Tuko kisiasa zaidi japo siasa nazo na hasa kampeni za mwaka huu zinatuonyesha kuwa mambo haya ya mahusiano ni kitovu katika siasa.Mara mtu kamwibia mwingine mke, mara girlfriend mara sijui nini!
Back to the topic....hapo kwenye nyekundu pamenipa maswali mengi:
Watu wengi huamini - ni watu gani hao?
Mungu aliumba mwanaume awe na wake wangapi? Kama ni suala la imani basi nami imani yangu inaniambia kuwa Mungu hakumuumbia mwanaume "wanawake" bali alimuumbia "mwanamke" - angependa toka mwanzo mwanaume awe na wake wengi, basi angewaumba zaidi ya mmoja toka pale mwanzo.Hii inanipeleka mbali zaidi kuona ni kwa vipi mwanaume aliweza kukiuka toka mwanzo na kuanza "kujilimbikizia" wanawake kutokana na tamaa tu na wala siyo ulazima. Katika utafiti kidogo nilioufanya, nimegundua kuwa mwanaume anaweza kuwa na wanawake utitiri akiwapanga wote kwa wakati mmoja na kujisikia kuwa anawapenda wote ( kitu ambacho kina utata), ilhali mwanamke mwenye mahusiano na mtu zaidi ya mmoja, mara nyingi inatokana na ulazima ( necessity ) zaidi - kimapato, emotional need ya kupendwa, hitaji la usalama na mara nyingi hupelekea kuegemea kwa huyo mpenzi mpya kuliko kuwa nao sambamba- hii inaweza kujadiliwa zaidi.Kwa kifupi, huwezi kujidanganya kuwa uko na mitala iliyo perfect, huwezi kujidanganya kugawa penzi sawasawa, huwezi kujidanganya kuwa maadam watu wengi wanaamini au kufikiri kuwa wanaume wameumbwa kuwa na wake wengi, na wanawake kuwa na mwanaume mmoja basi hii ni dawa ya kukomesha mahusiano - ziada. Ukweli umejidhihirisha kuwa kuna tofauti baina ya tunachofikiri na kuamini na hali halisi ya mambo yalivyo. Dawa ya kukomesha tatizo - kama ni tatizo ni kwa wote kujizuia na vile vitendo vyenye kupelekea liwepo ombwe katika mahusiano, ombwe litakaolovuta hitaji la kuziba kwa style yoyote ile. "Mwanaume mpende na kumheshimu mkeo, na mke mpende na kumheshimu mumeo" - hii ndio dawa pekee.
wakati najiandaa kujibu maswali yako magumu... ngoja nianze kwa kusema, kampeni za mwaka huu zinatufanya wengine tuishie kutukana tu... mbinu zitumikazo ni balaa

Back to topic; wengi pale nilimaanisha sie wanaume na baadhi ya wanawake waliolelewa kiislamu; kuhusu kujizuia, hili ni muhimu zaidi ya yote na kwa upande wangu naamini kabisa... kama ukiona nafanya infidelity mara nne kwa nusu mwaka, basi ujue bila kujizuia si ajabu ningefanya mara 12, hivyo huwa tunajitahidi sana lakini "call of nature" is a power to reckon... tupeane pongezi japo kwa jitihada, as no man is perfect
 
mara nyingi ukijaribu kuangalia mapenzi ya wanandoa hasa wa kiafrika(especially Watanzania) unakuta mahusiano yapo zaidi katika kutimiza majukumu na wala si romantic love!Baba ndani ya nyumba anaona jukumu lake kubwa ni kutimiza mahitaji ya familia yake kuanzia chakula, malazi , afya ,shule kwaajili ya watoto na mengine yote yanayohusu familia!Na unakuta mama anafurahi kuwa na mwanaume ambae anajua kuijali familia yake katika mahitaji hayo ya kila siku!Suala la kupeana unyumba lipo na ni muhimu lakini kwa ukaribu zaidi ukichunguza mahusiano ya wanandoa hayajakaa sana katika mtizamo wa romantic love kama walivyo wenzetu wazungu!Ndo maana mwanaume akitaka kupata raha fulani ya kusex anaona ni bora atoke nje kwa mwanamke ambae anaweza akamshibisha kwenye sex kuliko mke wake kwasababu tayari yule wa kwake anaonekana kama ni mama wa nyumbani na majukumu yake hayajabase zaidi kwenye kumshibisha mume kwenye sex! (sorry, ni mtazamo tu)
very right mkuu, lakini role ya kuamsha ashki ya penzi moto ni jukumu letu sote

bahati mbaya sana fatigue, stress na watoto huchangia sana kukosekana kwa ashki hizi... na hata msaada wa watu wa marekani nao umeshindwa

kablda tuangalie njia mbadala... mimi nikienda na mamaa hotel au gesti hali ya mambo hubadilika kabisa... huwa tunacheza juu ya kiwango pasi fupi-fupi na ndefu, kanzu matobo na hata mamabo yanakua ya kiufundi zaidi... vilevile rafu na utovu na nidhamu hushuka na sijaona hata warning kama yellow card au timu kususia uwanja, hali hii ni tofauti na maeneo ya viwanja vya nyumbani

mara nyingi baada ya hizi mechi za ugenini amani huwepo japo kwa tumiezi sita
 
wakati najiandaa kujibu maswali yako magumu... ngoja nianze kwa kusema, kampeni za mwaka huu zinatufanya wengine tuishie kutukana tu... mbinu zitumikazo ni balaa

Back to topic; wengi pale nilimaanisha sie wanaume na baadhi ya wanawake waliolelewa kiislamu; kuhusu kujizuia, hili ni muhimu zaidi ya yote na kwa upande wangu naamini kabisa... kama ukiona nafanya infidelity mara nne kwa nusu mwaka, basi ujue bila kujizuia si ajabu ningefanya mara 12, hivyo huwa tunajitahidi sana lakini "call of nature" is a power to reckon... tupeane pongezi japo kwa jitihada, as no man is perfect

Sijui kwanini post yote hii nimeona hapo tu.!

Mwanaume anayefanya infidelity mara nne tu kwa Mwaka anahitaji NISHANI YA UVUMILIVU. Mwanamke atakayempata mwanaume wa aina hiyo anahitaji sana kumshukuru MUNGU kwa kumpata mwanaume MWAMINIFU katika ndoa.

Kamanda hebu kamata hii kwanza:



The Following User Says Thank You to Acid For This Useful Post:

Asprin (Today)
 
akifanya infidelity unamtimua tu.

ingelikuwa wanawake wengi wanatumia mbinu hiyo, nafikiri wimbi la infidelity lingepungua kwa wanaume. (mwanamme haoni tabu kumtimua mwanamke akijua amemcheat.............y spare him?)
 
Jibu ni NDIO!!

Mila na Desturi zetu waafrika zinaruhusu wanawake kumshea mwanaume bila kinyongo. Wingi wa ndoa za Mitala ambazo hudumu bila purukushani baina ya wanawake ni uthibitisho kuwa wanawake wako radhi kuchukuliwa wanaume zao.....Tena kuna wanawake wengini huwachagulia waume zao wanawake wa kuwaoa.

Upande wa pili, sijawahi kushuhudia wala kusimuliwa kuwa kuna mwanamke aliyewahi kuolewa na wanaume wawili na wanaume hao wakaafikiana jambo hilo.

Hivi niko off topic au? Hizi hangover nyingine zinafanya makusudi sasa!!:becky::becky:

hauko off tipiki kabisa, hata zile mila za utakaso, chagulaga nk... zipo

:becky:
 
Jibu ni NDIO!!

Mila na Desturi zetu waafrika zinaruhusu wanawake kumshea mwanaume bila kinyongo. Wingi wa ndoa za Mitala ambazo hudumu bila purukushani baina ya wanawake ni uthibitisho kuwa wanawake wako radhi kuchukuliwa wanaume zao.....Tena kuna wanawake wengini huwachagulia waume zao wanawake wa kuwaoa.

Upande wa pili, sijawahi kushuhudia wala kusimuliwa kuwa kuna mwanamke aliyewahi kuolewa na wanaume wawili na wanaume hao wakaafikiana jambo hilo.

Hivi niko off topic au? Hizi hangover nyingine zinafanya makusudi sasa!!:becky::becky:


Hapo ndugu naomba nikuulize... samahani lakini..wewe ni mwanamke au mwanaume?...
kama ni mwanamke basi umejaaliwa moyo wa tofauti.Kama ni mwanaume basi ni yale yale ya mkuki kwa nguruwe tu!...Hivi mila na desturi ni ganzi ya mioyo ya watu?
 
Hapo ndugu naomba nikuulize... samahani lakini..wewe ni mwanamke au mwanaume?...
kama ni mwanamke basi umejaaliwa moyo wa tofauti.Kama ni mwanaume basi ni yale yale ya mkuki kwa nguruwe tu!...Hivi mila na desturi ni ganzi ya mioyo ya watu?
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
 
very right mkuu, lakini role ya kuamsha ashki ya penzi moto ni jukumu letu sote

bahati mbaya sana fatigue, stress na watoto huchangia sana kukosekana kwa ashki hizi... na hata msaada wa watu wa marekani nao umeshindwa

kablda tuangalie njia mbadala... mimi nikienda na mamaa hotel au gesti hali ya mambo hubadilika kabisa... huwa tunacheza juu ya kiwango pasi fupi-fupi na ndefu, kanzu matobo na hata mamabo yanakua ya kiufundi zaidi... vilevile rafu na utovu na nidhamu hushuka na sijaona hata warning kama yellow card au timu kususia uwanja, hali hii ni tofauti na maeneo ya viwanja vya nyumbani

mara nyingi baada ya hizi mechi za ugenini amani huwepo japo kwa tumiezi sita

Hapo kwenye bold...... hebu nijuze zaidi ndugu yangu............
 
Hapo ndugu naomba nikuulize... samahani lakini..wewe ni mwanamke au mwanaume?...
kama ni mwanamke basi umejaaliwa moyo wa tofauti.Kama ni mwanaume basi ni yale yale ya mkuki kwa nguruwe tu!...Hivi mila na desturi ni ganzi ya mioyo ya watu?

wOs tambua kuwa mwanaume ataendelea kuwa mwanaume tu siku zote,kuna mambo mengine wanawake inabidi wayapokee kama yalivyo!
 
Hapo kwenye bold...... hebu nijuze zaidi ndugu yangu............
yani hapo nazungumzia mechi za ugenini yaani mie na na mama chupaki tukienda nje ya uwanja wa nyumbani e.g. guest au hoteli [refer the post] huwa tunabadili mambo na hivyo hata visirani visivyo na sababu huwa vinaisha..

Hata zile ruhusa za kukaa chambe na kupata red label zinaongezeka
 
Unajua ukweli ni kuwa mume au mke kutoka nje ya ndoa kunakuwa kumesababiswa na mmoja kati yao. Unakuta kila mtu alimzoea mwenzake kwa tabia fulani mara mambo yanabadilika either kutokana na kuzoena sana heshima inapungua ndani ya nyumba, sasa hii inapelekea mmoja kati yao kuweza kujaribu kutoka nje ya ndoa yao!

Pharmacist;
Hapana, hii mada watu mnakuwa wanasiasa, ndiyo maana tutaendelea kusoteshwa sana na wanasiasa sababu sisi kawaida yetu siyo wakweli. Tuna tendency ya ku-pretend, na hii ndiyo imeshakuwa tabia yetu. Huwa hatuwezi kuongea ukweli moja kwa moja!
Tabia halisi ya mwanadamu ni kwamba akishajua hakuna mtu anayemuona/ anayemfahamu, ndiyo pale anapofanya kile ktu ambacho kinapotray asili ya tabia yake. Tungekuwa na uwezo wa kuwa tunajibadilisha kuwa hata nzi, ndiyo hapo tungeweza kujua tabia halisi ya mwanadamu/ wapenzi zetu ikoje, vinginevyo huwezi kujua kwa kuwauliza au kuwaletea topic wajadili!
 
Hii thread umeiibua wapi tena Acid? Tuko kisiasa zaidi japo siasa nazo na hasa kampeni za mwaka huu zinatuonyesha kuwa mambo haya ya mahusiano ni kitovu katika siasa.Mara mtu kamwibia mwingine mke, mara girlfriend mara sijui nini!
Back to the topic....hapo kwenye nyekundu pamenipa maswali mengi:
Watu wengi huamini - ni watu gani hao?
Mungu aliumba mwanaume awe na wake wangapi? Kama ni suala la imani basi nami imani yangu inaniambia kuwa Mungu hakumuumbia mwanaume "wanawake" bali alimuumbia "mwanamke" - angependa toka mwanzo mwanaume awe na wake wengi, basi angewaumba zaidi ya mmoja toka pale mwanzo.Hii inanipeleka mbali zaidi kuona ni kwa vipi mwanaume aliweza kukiuka toka mwanzo na kuanza "kujilimbikizia" wanawake kutokana na tamaa tu na wala siyo ulazima. Katika utafiti kidogo nilioufanya, nimegundua kuwa mwanaume anaweza kuwa na wanawake utitiri akiwapanga wote kwa wakati mmoja na kujisikia kuwa anawapenda wote ( kitu ambacho kina utata), ilhali mwanamke mwenye mahusiano na mtu zaidi ya mmoja, mara nyingi inatokana na ulazima ( necessity ) zaidi - kimapato, emotional need ya kupendwa, hitaji la usalama na mara nyingi hupelekea kuegemea kwa huyo mpenzi mpya kuliko kuwa nao sambamba- hii inaweza kujadiliwa zaidi.Kwa kifupi, huwezi kujidanganya kuwa uko na mitala iliyo perfect, huwezi kujidanganya kugawa penzi sawasawa, huwezi kujidanganya kuwa maadam watu wengi wanaamini au kufikiri kuwa wanaume wameumbwa kuwa na wake wengi, na wanawake kuwa na mwanaume mmoja basi hii ni dawa ya kukomesha mahusiano - ziada. Ukweli umejidhihirisha kuwa kuna tofauti baina ya tunachofikiri na kuamini na hali halisi ya mambo yalivyo. Dawa ya kukomesha tatizo - kama ni tatizo ni kwa wote kujizuia na vile vitendo vyenye kupelekea liwepo ombwe katika mahusiano, ombwe litakaolovuta hitaji la kuziba kwa style yoyote ile. "Mwanaume mpende na kumheshimu mkeo, na mke mpende na kumheshimu mumeo" - hii ndio dawa pekee.
Ila WOS hoja unazo, jaribu kuwabana watu watoe kilicho ndani ya roho zao na siyo kuanza siasa hapa. Kura za maoni zimeshapita na waliopita wanaparangana huko sasa hivi kutafuta kura hapa JF hawapo, hivyo sitegemei watu kutoa majibu/mawazo yanayofanana na ya wanasiasa!
 
yani hapo nazungumzia mechi za ugenini yaani mie na na mama chupaki tukienda nje ya uwanja wa nyumbani e.g. guest au hoteli [refer the post] huwa tunabadili mambo na hivyo hata visirani visivyo na sababu huwa vinaisha..

Hata zile ruhusa za kukaa chambe na kupata red label zinaongezeka


I want to make sure i get it right... mechi za ugenini au kazi za nje, unamaanisha ukiwa na mke au mamaa wa pembeni?
 
Back
Top Bottom