inge kuwa wewe ungefanyaje?

menny terry

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
509
667
hebu fikiria una Gf wako ambae mna aminiana sanaa na huko nyuma mlisha wahi kupima na kukutwa mpo safi hali hii imewapelekea kuwa mnacheza mechi bila refa but sikumoja katika pekua pekua kwenye pochi yake una kuta ana lady pepeta au condom ya kike na uki muuliza ana sema hii ni ya rafiki yangu amenituma ni mnunulie.
 
hebu fikiria una Gf wako ambae mna aminiana sanaa na huko nyuma mlisha wahi kupima na kukutwa mpo safi hali hii imewapelekea kuwa mnacheza mechi bila refa but sikumoja katika pekua pekua kwenye pochi yake una kuta ana lady pepeta au condom ya kike na uki muuliza ana sema hii ni ya rafiki yangu amenituma ni mnunulie.
Huyo anaonyesha anajali afya yake ila si mwaminifu. Wewe unafikiri atasema ni ya kwake ? Piga chini.
 
1.anajali na anajua ukimwi upo ..MPONGEZE KWA ILO
2.IO CONDOM NI yake.
uo urafiki wa kubebeana na condom kwa wasichana nachelea kusema aupo....


3.kaa naye chn umwulize na akuambie ukweli anafanya nanani?

lakin usikubali kudanganywa ktoto et nimembea rafiki yangu.....mdadisi utaujua ukweli...
 
Mmmh....huyo hatosheki na mambo yako.......ongeza dozi.ili huko anakoenda kuvaa iyo lady pepeta awe anaghailisha kwenda.
NB:Relationship yenu haina mawasiliano mazuri sababu hamuelezani hisia zenu kwa uwazi zaidi.mfano kama haujatosheka uwa unamwambia?ama wanyamaza kimya?na yeye pia hakuambiagi kama hajatosheka.
 
hatofautiana na yule jamaa yangu alimkuta na ky-jely ikiwa imetumia kidogo........alipoulizwa akasema ni ya rafiki yake....hahaha
 
hebu fikiria una Gf wako ambae mna aminiana sanaa na huko nyuma mlisha wahi kupima na kukutwa mpo safi hali hii imewapelekea kuwa mnacheza mechi bila refa but sikumoja katika pekua pekua kwenye pochi yake una kuta ana lady pepeta au condom ya kike na uki muuliza ana sema hii ni ya rafiki yangu amenituma ni mnunulie.[/QUO

Anaondoka kama alivyongia... na kila kilicho changu arudishe
 
Hata kama ni ya rafiki yake ndo aje nayo kwako?si angenunua wakati wa kurudi kwao? Huyo ni muongo tena ni wa hatari sana...
 
hebu fikiria una Gf wako ambae mna aminiana sanaa na huko nyuma mlisha wahi kupima na kukutwa mpo safi hali hii imewapelekea kuwa mnacheza mechi bila refa but sikumoja katika pekua pekua kwenye pochi yake una kuta ana lady pepeta au condom ya kike na uki muuliza ana sema hii ni ya rafiki yangu amenituma ni mnunulie.[/QUO

Anaondoka kama alivyongia... na kila kilicho changu arudishe


Hapo kwenye red naona kama ni tungo tata kwangu.

Hivi mambo ya kudaiana na kurudishiana vitu mlivyopeana wakati mkiwa wapenzi/wachumba/wanandoa , pindi mnapoachana?
Kama kweli yapo ,hivi mtadaiana na kurudishiana vingapi?? manake kipindi huwa tunapeana vingi sana...
Hivi unaanzaje kuvidai?? ,,manake mmmh!!! naona kizunguzungu tu......
 
SIYO MWAMINIFU ila pia ni mwangalifu huko nje,
kaeni chini jadilianeni mienendo yenu ,
mapenzi kama ni bahari hayakosi mawimbi,
kosa moja haliachi mpenzi/mke /mume.
 
Huyo anaonyesha anajali afya yake ila si mwaminifu. Wewe unafikiri atasema ni ya kwake ? Piga chini.

kuachana siyo suluhisho jema la kutanguliza. Unaweza kumuacha na kuja kumpata mwengine ambaye anaweza kuwa ana mapungufu mengi atamzidi kuliko huyo uliyemuacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom