menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
hebu fikiria una Gf wako ambae mna aminiana sanaa na huko nyuma mlisha wahi kupima na kukutwa mpo safi hali hii imewapelekea kuwa mnacheza mechi bila refa but sikumoja katika pekua pekua kwenye pochi yake una kuta ana lady pepeta au condom ya kike na uki muuliza ana sema hii ni ya rafiki yangu amenituma ni mnunulie.