Zote.Salaam ndugu zangu,
Samahani naomba kuuliza kati ya IT na Computer science ipi course yenye fursa hasa kwa upande wa kujiajiri
Thanks kwa ushauri mzuriZote.
Ila kasome Computer Science.
Cha muhimu hakikisha ukimaliza uwe na kitu kichwani sio unsmsliza hujui hata kuandika mstari mmoja wa code.
NB: kama wewe ni mvivu wa kujisomea usie huko. Hizo kozi hata ukimaliza chuo lazima uendelee kujisomea.
Mtoa mada zingatia hiliNB: kama wewe ni mvivu wa kujisomea usie huko. Hizo kozi hata ukimaliza chuo lazima uendelee kujisomea.
Hizi nd'o kozi za kukuepushia njaa za hovyo mkuu.Salaam ndugu zangu,
Samahani naomba kuuliza kati ya IT na Computer science ipi course yenye fursa hasa kwa upande wa kujiajiri