MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,250
- 22,320
Nikiwa nimekaa zangu natafakari uwezo wa hali ya juu wa Rais Samia kuweza kuwamaliza kabisa kisiasa Chama Cha Mbowe kwa kuwaruhusu kufanya mikutano.. Katumia sayansi ya hali ya juu sana. Wapinzani wakija kushtuka it is too late na wana kura sifuri kwenye sanduku.
Nikapokea simu ya ndugu mmoja wa kwenye ukoo akionyesha kukerwa mno kwa kinachoendelea kwenye maandalizi ya sherehe ya Sendoff ya dada yetu fulani kwenye ukoo.
Ni kwamba kabla dada hajapata mpenzi wake anayetarajia kufunga nae ndoa alikuwa na mpenzi wake ambaye kwa bahati mbaya ni mume wa mtu na kuoana nae ni ngumu.
Kinachoendelea ni kwamba huyu mpenzi wa mwanzo (mume wa mtu) yumo kwenye kamati ya sendoff na anashiriki kikamilifu. Yaani ni kiherehere plus. Kinachoshangaza anaendelea kutafuna demu huku pia akiunga mkono kwenda kuolewa.
Mimi nimepigwa na mshangao na kujiuliza maswali mengi mno. Sioni bright future kwa hii ndoa kabisa kwa kinachoendelea. Ninyi WANA-JF mlishawahi kukutana na hii hali? Mlifanyaje?
Nikapokea simu ya ndugu mmoja wa kwenye ukoo akionyesha kukerwa mno kwa kinachoendelea kwenye maandalizi ya sherehe ya Sendoff ya dada yetu fulani kwenye ukoo.
Ni kwamba kabla dada hajapata mpenzi wake anayetarajia kufunga nae ndoa alikuwa na mpenzi wake ambaye kwa bahati mbaya ni mume wa mtu na kuoana nae ni ngumu.
Kinachoendelea ni kwamba huyu mpenzi wa mwanzo (mume wa mtu) yumo kwenye kamati ya sendoff na anashiriki kikamilifu. Yaani ni kiherehere plus. Kinachoshangaza anaendelea kutafuna demu huku pia akiunga mkono kwenda kuolewa.
Mimi nimepigwa na mshangao na kujiuliza maswali mengi mno. Sioni bright future kwa hii ndoa kabisa kwa kinachoendelea. Ninyi WANA-JF mlishawahi kukutana na hii hali? Mlifanyaje?