Hahah hio namba ni specific kwa kampeni season. Inalipiwa laki na nusu na si 10M mjomba.Kuna vigari naviona vimewekwa hio T2020 JPM kama Altezza,Allion,Opa etc halafu nakua siamini amini hivi kweli hawa wamesajili hizi No. Plates huko TRA au wanatania?
Hizo No. plates Kuzisajili TRA unalipa Tsh. 10,000,000(yaani mil. 10) kila baada ya miaka 3,sasa No. plates zinalingana thamani na magari yenyewe husika.
So nafanya conclusion kwamba kuna magari hapa mjini yamechonga tu hizo No. plates na wala huko TRA hawako kwny records zao.
Hii ni udhibitisho wa kukosa umakini katika utendaji labda kwa sababu ya woga. Lazima mamlaka ya juu itakuwa imependezwa na hizo namba na hivyo haijalishi madharaNimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Majuha mnahangaika na picha za kutengeneza
Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
Kwa sababu yale magari huwa yakitembea mengine yanawekwa pembeni, na kama likikugonga watakusomea ilani yao utapona!Ukienda polisi na wao watakushangaa umepata wapi ujasiri wa kureport jambo hilo.
Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
Haziwezi zikawa special namba wakati ni magari zaidi ya matano hapo. Special namba inakua kwa gari mojaSpecial number zile zinazolipiwa 10m?
Ukienda polisi na wao watakushangaa umepata wapi ujasiri wa kureport jambo hilo.
Huna akili!Huna akili kwa sababu unafikiri kuwa kuna mtu yupo juu ya sheriaUtashindana na Rais wewe?
Nchi ilikabidhiwa kwa malimbukeni,washamba na mambumbumbuKila siku tunapiga kelele kuhusu Serikali hii na CCM yake wanafanya mambo ya kipuuzi yaliyo kinyume cha Sheria lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Imagine hayo magari yangekuwa yameandikwa Lissu au Rungwe unadhani yangeruhusiwa kupita Barabarani?
Rais ni Mungu? Lissu anacheza nae au?Utashindana na Rais wewe?