Inawezekana Russia wapo imara katika masuala ya mitandao kuliko Marekani

Usa anatumia language za kawaida katika system zake wakati russia anatumia language zake mwenyewe ambazo hazipo popote pale duniani.
Usa hawezi kumdukua russia kwa sasa kutokana na utofauti wa hizo language.
Pia bajet ya fedha sio kiashiria cha uwezo wa jeshi kivita au kitechnology.
Usa anamakambi mengi ya jeshi na kuyaendesha haya makambi no kitu kinachoitaji fedha nyingi wakati russia hana kambi nyingi kiivyo but kaamua kuwekeza kwenye technology ambayo itamwezesha kiendesha vita popote duniani kutokea moscow.
Ntatoa mfano mfogo tu kuthibitisha kuwa fedha sio issue kwenye mambo ya kitechnology.
Wakati wa ushindano wa kwenda kwenye space usa na russia waligundua kuwa huko juu hakuna gravitation force. So peni isingeweza kutumika kurekodi data huko juu.
Usa wakaaamua kutumia pesa nyingi sana kutengeneza peni ambayo ni ant gravity ili waweze kuitumia kwenye space lakin russia wakaamua kutumia penseli tu ili waweze kurekodi data huko juu.
Sasa katika mfano huo mtaona kwamba pesa sio kila kitu bali akili na maarifa.
N
Acha porojo Mkuu. Yaani katika obstacles zoote ulizozifikiria umeona lugha ndio issue? Yaani US washindwe kuwa-hack Russia kwa sababu ya lugha? Halafu stori yako ya anga za juu imenichekesha balaa.
 
Acha porojo Mkuu. Yaani katika obstacles zoote ulizozifikiria umeona lugha ndio issue? Yaani US washindwe kuwa-hack Russia kwa sababu ya lugha? Halafu stori yako ya anga za juu imenichekesha balaa.
Ungekuwa mjuzi wa mambo ya it ungeelewa niliposema lugha nilikuwa na maana gani. <br />Naomba nukupe nafasi useme ni wapi au kitu kipi ktk eneo la jeshi ambalo usa anamzidi russia.
 
Ninaposema languange simaanishi kingereza na kirusi bali ni neno linalotumika kwenye it.
Languange. Zinazozungumziwa hapa ni kama java, c++,c+ nk.
Sasa mmarekani anatumia common languange katika kuunda program zake au system zake wakati mrusi anatumia language yake peke yake ambayo hakuna kokote kule duniani
Emb mkuu sema jina la hiyo lugha hapa? Naelewa unachokisema,ila nataka kujua hiyo lugha unayosema iko Russia peke yake.
 
kelele za Putin tuu hizo USA wapo mbali sana, Urusi si ndio inayowekewa vikwazo mbona sijawahi sikia USA kuwekewa vikeazo pamoja na makosa anayofanya..unawezaje kuwalinganisha hao mmoja yupo juu kabisa ya mwingine..
 
?! kampuni ya sony ni kubwa sana nadhani sio america tu bali duniani kote hivyo katika suala la security lazma wawe vizuri kuliko hata mabenki.huwezi kufananisha kuhack hiyo kampuni na kuhack email za clinton
Unatoa hitimisho kutokana na dhana na si uhalisia? Kwa hiyo ni kubwa kuliko Apple?
 
kelele za Putin tuu hizo USA wapo mbali sana, Urusi si ndio inayowekewa vikwazo mbona sijawahi sikia USA kuwekewa vikeazo pamoja na makosa anayofanya..unawezaje kuwalinganisha hao mmoja yupo juu kabisa ya mwingine..
watu hawaoni hii obvious fact.
 
Wako vizuri...! Kwa sasa wanaijua US and others in and out. Na sasa wameibuka na hii web yao kabisa. Ukijichanganya kuingia kwenye web yao kwa kudukua...system yako 'inatafunwa' hapo hapo.

Russian military launches own ‘closed internet’ for classified data exchange – report
Several waves of major cyberattacks against an internet directory service knocked dozens of popular websites offline today, with outages continuing into the afternoon.

Twitter, SoundCloud, Spotify, Shopify, and other websites have been inaccessible to many users throughout the day.

PEOPLE BRAINWASHWED BY US MEDIA AND UNDERESTIMATE ABILITY OF OTHER NATIONS...its just a start
 
Ni waambie kitu duniani hakuna watu wenye akili nyingi na magenus kama WAYAHUDI never play with them .Us ndo dunia ilipo pale
 
Amini amini nakuambia,mpaka sasa hakuna taifa lililo mbele ya Marekani kwa chochote kile,wao hucheza na nyakati tu basi.
Kuna kipindi Uchina waliwanyoosha USA kwa kuwaibia nyaraka kibao mpaka wakaomba poo.
Nalog off
 
Toka kampeni za urais Marakani zipambe moto mengi mpaka sasa yameshaibuka matukio, na
kikubwa ni kuibuliwa kwa email za siri za Mama Clinton, Wikileaks ndiyo waliovujisha emails zinazofikia 11k mpaka sasa, baada ya haya kutokea wanolaumiwa ni Putin na serikali yake.

Marekani wameenda mbali na kauli ya Joe Biden inadai watafanya cyber attack kuelekea Russia na kwa Putin.

Ninachojiuliza kwa nini US wamegeuka watu wa kulalama kwenye media badala ya kufanya vitendo, ni kweli US imeachwa mbali kwenye ukachero wa kimtandao?

Je, hizi emails zina effects gani kwa Hilary?
 
Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia Cia na fbi hawana watu ambao wapo fluent na kirusi kumbuka kuna wakimbizi wengi sana ambao wanaishi marekani ambao wanaongea kirusi mfano chechinia na kuna wengine huwa wanaishi kwenye nchi ya ukimbizi na baadaye kuamua kurudi nyumbani wakiwa planted kwenda kufanya kazi za kijasusi. hawa majajusi wanatabia ya kununua watu kuwalipa pesa nyingi kwa ajili ya kijua siri za nchi jirani na hiyo inakwenda both ways sikatai kwamba russia sio wazuri kivita ila hata ktk hali ya kawaida mtu ambaye amakuzidi bajeti mara 7 au nane lazima ukubali anauwezo wa kufanya research kuliko wewe kuinvest kwenye mambo mengi kuliko wewe sio rocket science kujua hilo mkuu.
Mkuu language hajamaanisha lugha ya mazungumzo Bali computer language

Mfano python, c++,java ,nk
 
Kampun ya Sony!! Ivi hujui hii ni kampuni binafs ?nan mmiriki wake?
Jeremy Hammond jamaa aliingia kwenye server na kuleak millions of data ,.bahati mby alichomeshwa na Sabu ambaye pia alikuwa hacker na huyu jamaa kaishia high school tu ,ndiye aliyehack Sony na kuleak ,na kaingia ktk server za serikali sana ila alikamatwa na ndiye aliyemchomesha mwenzie.

Hammond alikuwa pekee yke
Sabu vile vile alikuwa pekee yke

Lkn waliweza kuhack nyaraka za serikali sembuse China,Russia wasiweze

Kwenye internet hata uwe mtaalamu vp kwakuwa system kuna loopholes lzm utakuwa vulnerable ,. Cyber attack haihitaji pesa Bali ujuzi tu
 
Ni waambie kitu duniani hakuna watu wenye akili nyingi na magenus kama WAYAHUDI never play with them .Us ndo dunia ilipo pale
Kwenye cyber hata uwe genius vp kwakuwa system yeyote ile kuna loopholes lzm utakuwa vulnerable

Ndio maana tunaona server za serikali tena hyo ya USA zikidukuliwa,Israel hvy hvy

Ndio maana juzi urusi na China wamelaumiwa sana
 
kelele za Putin tuu hizo USA wapo mbali sana, Urusi si ndio inayowekewa vikwazo mbona sijawahi sikia USA kuwekewa vikeazo pamoja na makosa anayofanya..unawezaje kuwalinganisha hao mmoja yupo juu kabisa ya mwingine..
Post inaongelea cyber war,tusitoke nje ya mada

Cyber haihitaji pesa wala gharama Bali ni ujuzi tu
Ndio maana tunaona kundi la anoynomous linawasumbua sana NSA na wkt hawana pesa ni watu binafsi tu

Hata uwe na pesa kiasi gani kwakuwa kwenye kila system kuna loopholes basi juwa nafasi ya kudukuliwa ni kubwa ,ni namna tu anayeshambulia kutumia mbinu kupenya kwenye udhaifu.


NSA kila siku wanapambana kutafuta mahackers..udukuzi hautoweza kuzuiliwa kamwe ,vgm sana
 
Back
Top Bottom