Inawezekana Russia wapo imara katika masuala ya mitandao kuliko Marekani

Mkuu kwa hyo penseli ni ant gravity!!?
Kutambua hilo fanya jaribio hili... Hatua:
1.chukua karatasi moja nyeupe ya A4 ibandike kwenye dari, kwa kutumia gundi,ukiwa umesimama sakafuni au umenda ngazi kukitokea sakafuni.
2.Chonga penseli yako vizuri, ijaribu kwenye karatasi kama inaandika vizuri; ukijilizishakuwa inaandika vizuri iweke pembeni. pia chukua kalamu ya wino ijaribu kwenye karatasi uliyojaribia penseli kuona kama inaandika vizuri. Ukiridhika kuwa inaandika sawa sawa iweke pembeni pia.
3. Chukua kalamu zote mbili (penseli na kalamu ya wino) zigeuze kwa sehemu ya kuandikia zitazame juu. Ziache katika hali hiyo kwa muda wa dakika kumi.
4. baada ya dakika kumi, zikiwa bado zimegeuza kama maelezo ya hatua ya nne yalivyo zifunge kwa pamoja kiasi kwamba itakuwa rahisi kuzitumia kuchora mistari kwenye ile karatasi uliyobandika juu darini kwenye hatua ya kwanza. Jiridhishe kuwa umezifunga vizuri na wala hazita hachana wakati wa kuchora mistari.
5. Chukua kalamu hizo (zilizofungwa pamoja) wakati sehemu ya kuandikia ya kalamu hizo ikiwa juu, kuchora mistari nane kutoka ukingo mmoja wa karatasi hiyo kulekea mwingine kwenye karatasi iliyopachikwa darini. Wakati unachora angalia. Ukimaliza, angalia ni kalamu ipi itakuwa imeweza kuchora mistari mingi kuliko nyingine. Jibu utakalopata, litakupa ufahamu wa kujua kuwa penseli ni anti-gravity ama la...!
=====
 
Usa anatumia language za kawaida katika system zake wakati russia anatumia language zake mwenyewe ambazo hazipo popote pale duniani.
Usa hawezi kumdukua russia kwa sasa kutokana na utofauti wa hizo language.
Pia bajet ya fedha sio kiashiria cha uwezo wa jeshi kivita au kitechnology.
Usa anamakambi mengi ya jeshi na kuyaendesha haya makambi no kitu kinachoitaji fedha nyingi wakati russia hana kambi nyingi kiivyo but kaamua kuwekeza kwenye technology ambayo itamwezesha kiendesha vita popote duniani kutokea moscow.
Ntatoa mfano mfogo tu kuthibitisha kuwa fedha sio issue kwenye mambo ya kitechnology.
Wakati wa ushindano wa kwenda kwenye space usa na russia waligundua kuwa huko juu hakuna gravitation force. So peni isingeweza kutumika kurekodi data huko juu.
Usa wakaaamua kutumia pesa nyingi sana kutengeneza peni ambayo ni ant gravity ili waweze kuitumia kwenye space lakin russia wakaamua kutumia penseli tu ili waweze kurekodi data huko juu.
Sasa katika mfano huo mtaona kwamba pesa sio kila kitu bali akili na maarifa.
N
Mnamwona huyo mkomunisti wa maana na budget yake ya dola mbili lakini mnasahau hata hiyo internet,computer languages na tech za aina nyingi original ni projects za jeshi la marekani kabla ya kuziachia dunia nzima na sasa dunia nzima tunafaidika kama hapa JF tunavyowasiliana,mkomunisti na language yake na tech yake inamfaidisha nani zaidi yake mwenyewe na jeshi lake
 
Usa ananunua siraha kutoka ktk makampuni binafsi yanayotengeneza siraha wakati mrusi haninui bali anatengeneza kwenye viwanda vya serikali. Plus kuna mengi pia nikitulia ntakujuza zaidi
Ndio capitalism hiyo na ndio imeifanya US kuwa superpower,hayo mambo ya serikali kumiliki viwanda ni ya wakomunisti na ndio maana wana njaa kama third world tuu
 
Hapana sio kweli,takwimu na uharisia vipo wazi USA wapo mbali wao wanaanza wengine wanafuata kuiga walichokivumbua,
Huo nfio ukweli kwamba USA NI ONLY SUPER POWER inaongoza kila idara.
Hata Putini anakili juu ya hilo
Msikilize.
putin acknowledge that USA is world's only super power today

na wewe ukaamini maneno ya putin??
 
Well said ukweli ndio huo. Kitu kingine kama Merikani ingekuwa na nia ya kuhack sytems za Urusi wangekaa kimya - lakini wanapo mtumbukiza Makamu wa Rais kuleta vitisho, Biden ana bluff tu, hizo ni mbinu za Chama chake kupoteza lengo ili wapiga kura wasi pay attention kwa kashfa zinazo mkabiri Hillary - wanataka masaa yote wapiga kura wafikirie ubaya wa Warusi.
Mkuu uko right kabisa, na mchezo unaoendelea ni kumfanya TRUMP aonekane kama mshirika wa Russia wakati siku zote inajulikana kuwa Rais wa USA hawezi rafiki wa Rais wa Russia, na hii imetokana na kauli zake za umbumbumbu wa masuala ya kimataifa.
 
Mnamwona huyo mkomunisti wa maana na budget yake ya dola mbili lakini mnasahau hata hiyo internet,computer languages na tech za aina nyingi original ni projects za jeshi la marekani kabla ya kuziachia dunia nzima na sasa dunia nzima tunafaidika kama hapa JF tunavyowasiliana,mkomunisti na language yake na tech yake inamfaidisha nani zaidi yake mwenyewe na jeshi lake
Tafakari tuu hapo utagundua mkomonisti ni zaidi. Kwa gharama za marekani anawatumia kufanya utafiti,kisha anakuja kubadili kidogo tu na anafaidika zaidi ya marekani
 
Wabongo bwana....mnabishana na habari/propaganda za magazetini na mitandaoni.....
 
US wapo chini sana , kashifa na siri nyingi za akina Edward snowden, asanje na hiyo ya e email inathibitisha hilo
 
b64355ece0ed3ceef24798f443328c72.jpg
c2cbba6f72748fc1777890868b523f0e.jpg
46ce56dcb21eb1520c958edaa673a198.jpg
98051ab1ae76f93e339aac32384fb40a.jpg



Huyo ndio mrusi nyoko of all time
 
Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia Cia na fbi hawana watu ambao wapo fluent na kirusi kumbuka kuna wakimbizi wengi sana ambao wanaishi marekani ambao wanaongea kirusi mfano chechinia na kuna wengine huwa wanaishi kwenye nchi ya ukimbizi na baadaye kuamua kurudi nyumbani wakiwa planted kwenda kufanya kazi za kijasusi. hawa majajusi wanatabia ya kununua watu kuwalipa pesa nyingi kwa ajili ya kijua siri za nchi jirani na hiyo inakwenda both ways sikatai kwamba russia sio wazuri kivita ila hata ktk hali ya kawaida mtu ambaye amakuzidi bajeti mara 7 au nane lazima ukubali anauwezo wa kufanya research kuliko wewe kuinvest kwenye mambo mengi kuliko wewe sio rocket science kujua hilo mkuu.
Ukweli ni kwamba USA yeye ana military camp ulimwengu mzima kitu ambacho kinasababisha awekeze pesa nyingi katika wizara ya ulinzi na mrusi ana military camp ndani ya nchi yake kitu kinachompunguzia mzigo wa kifedha.
 
2015 bajeti ya jeshi la marekani ilikuwa $598.5 billion na Russian military bajeti ya mwaka 2015 ilikuwa $81 billioni you do the math mkuu mmarekani umpende au umchukie lazima ukubali jamaa wameiacha dunia nzima mbali sana wengine wote wana play catch up.

hiyo gharama inategemea sana na gharama za maisha huko maraka hasa kwenye kuwalipa watu na wanainflate sana , na ndio maana apple wanaasemble vifaa vyao huko , china kwa sababu ya gharama kubwa huko marekani
 
yaaahh tufanye tu kampuni binafsi.je kunaweza kuwa na urahisi km unavyofikiria?! kampuni ya sony ni kubwa sana nadhani sio america tu bali duniani kote hivyo katika suala la security lazma wawe vizuri kuliko hata mabenki.huwezi kufananisha kuhack hiyo kampuni na kuhack email za clinton
Mkuu clinton alikua anatumia yahoo au ni email ya kiserikali?
 
Back
Top Bottom