Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
..... Sauli alikuwa chaguo la Mungu? Utawala na mwisho wake ulikuwaje?
Vp kuhusu sisi wanadam? Je kwa kuzaliwa kwetu ni wito, chaguo au mpango wa Mungu? Je maisha yetu tumeyafanya yawe na thamani kiasi gani kwake na kwa dunia?
Je uwepo wetu katika dunia hii ni chaguo la Mungu? Mbona magonjwa, vimbunga, mafuriko, na vifo vya kikatili vinatuandama wakati uwepo wetu hapa ni chaguo la Mungu?
Vp kuhusu sisi wanadam? Je kwa kuzaliwa kwetu ni wito, chaguo au mpango wa Mungu? Je maisha yetu tumeyafanya yawe na thamani kiasi gani kwake na kwa dunia?
Je uwepo wetu katika dunia hii ni chaguo la Mungu? Mbona magonjwa, vimbunga, mafuriko, na vifo vya kikatili vinatuandama wakati uwepo wetu hapa ni chaguo la Mungu?