MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
wakuu, najua kukutana ni mahali popote, mnaweza kukutana kwenye basi, njisni, kanisani, msikitini, mpirani, kumbi za starehe na mahali pengine ambapo sijapataja. maeneo hayo watu wamekuwa wakikutana na kuanza mahusiano,
SWALI LANGU. Hivi facebook, tena group ya stori za ngono unaweza pata mume? maana kuna binti jirani yangu ni juzi tu kaweka post kuwa anahitaji mme, leoo tayari kidume kimekuja na wameanza kufanya nfono, je hapoa pana ndoa?
SWALI LANGU. Hivi facebook, tena group ya stori za ngono unaweza pata mume? maana kuna binti jirani yangu ni juzi tu kaweka post kuwa anahitaji mme, leoo tayari kidume kimekuja na wameanza kufanya nfono, je hapoa pana ndoa?