Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
kwa muda huo huyo ndo atakuwa mumewe vinginevyo atajuta.Mind you huyo ni mke wako, mama wa watoto wako....
kwa muda huo huyo ndo atakuwa mumewe vinginevyo atajuta.Mind you huyo ni mke wako, mama wa watoto wako....
Jamaa akiwa baunsa je?
ouch!! sorry. calm down and sit together and discuss why she did it. (utetezi wa shetani alinipitia hautoshi). labda hayuko emotionally satisfied au uko too busy with work and she became weak etc. ongeeni kwa undani kujua if she is still in love with you. jaribu kuwa mwelewa (don't use anger) na tumia reasoning ku solve tatizo. and hope for the best.I am one of them and married....
Ila maumivu ya moyo yatakuwa yanakusugua kila siku..maana kakudharau sana kukuletea mwenzio tena kwenye kitanda chenu..sifanyi chochote
Hahahaaaa! Namimina wine expensive niliyoiweka kwa special ocassions ambapo impossible zitahapen!!!! LOL! Hapo wachukua glasi wawapa kila mmoja glai yake huku wewe hunywi!!!! (Watajambajeeeee! Lazima wahisi umewawekea SUMU si bure!!! Kila tone la wine wakimeza wanalisikia hadi kwenye OBLONGATA !!!! Hapo wanawaza sijui hiyo sumu ni ya kufa usingizini, au kukwanguka utumbo, au kuunguza maini!!!!!!!!!! Kumbe ni jst a glass of wine!:lol: Smtimes adhabu ndogo zinaadhibu kuliko kubwa