Tatizo letu wengi huwa tunashughulika na matokeo badala ya chanzo,ndio maana nikasema yafaa ujiulize mara mbili.Mkuu Joseph, hata kama lipo tatizo linaweza kuwa justified kwa kitendo hiki?
Hebu fikiria,unatoka safari;unafika nyumbani unamkuta mkeo katika hali/mazingira haya.Utachukua uamuzi gani?
unaenda kukodi "vijana wa kihuni" waje kuwala 0713 wote wawili. unarekodi na kuiweka kwenye tovuti ya --------.com
:lol:
ulitegemea niseme nini?? 'mke wangu tukae kitako kujadili hili suala' unawajua wanaume au unawasikia?Mind you huyo ni mke wako, mama wa watoto wako....
ulitegemea niseme nini?? 'mke wangu tukae kitako kujadili hili suala' unawajua wanaume au unawasikia?
Unawaomba walale vizuri ili nawe upate nafasi ya kulala.
namshikisha jamaa ukuta mbele ya huyo mama. Namfundisha jinsi ya kula cone na Asubuhi nawatimua wote