Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 791
- 551
kwangu mm cwz kucktk jamaa mwenyewe alikuwa n demu wa mtu kwani hakujua kuwa mke wa mtu ni sumu akajiandae kuwa kuni za kuchochea wenye dhambi chache[/Q
Lisemwalo lipo hata mimi nasikia hao jamaa hawakuwa majambazi bali mshua alikuwa anajivinjari na mke wa mtu jamaa ndio wakamfuatilia na kumpa za uso....kikao gani cha harusi saa saba za usiku?