Inashitua: Watanzania wengi hawasikitishwi na Kifo cha RPC Mwanza!

Yule mwanamke aliyekua nae angeuawa, taarifa za kiintelijensia zingemtaja balo?? na balo angekua ndani kuisaidia polisi?!
Bado hujajua kwanini watu wanafurahi tu?
 
Naam hali ndio imefika hapa, na wa kulaumiwa ni polisi magamba wenyewe kwa manyanyaso makubwa wanayowapa wananchi kwa kuwabambikizia kesi, kuwapiga bila sababu za msingi, kuomba na kupokea rushwa bila ya kuwa na makosa yoyote yale au kosa dogo sana, na hata kuwauwa Watanzania bila kuwa na hatia yoyote. Polisi sasa uteandaji wake umekuwa kama wa polisi wa utawala dhalimu na wa kibaguzi wa Afrika kusini chini ya kina Botha, Ian Smith na wengineo. Watanzania hatuna imani tena na jeshi la polisi.

Yaani imefika mahali ukimuona polisi ameanguka barabarani, amejeruhiwa, hupaswi kumpa msaada wowote bali ni kuokota jiwe kubwa na kummalizia kabisa afe.
 
yaani polisi wa sasa, nikimkuta ana,ambana na nyoka wallah namsaidia nyoka

Hii kali ya mwaka, nimecheka mpaka basi tu!!!!! Hata hivyo nimejiuliza, huyo nyoka atatambuaje kwamba anasaidiwa ili asije kukushambulia na wewe msaidizi???
 
Katika maongezi yangu na watu na usomaji wangu juu ya kifo cha RPC Mwanza, nimeshituka kugundua kwamba Watanzania wengi hatuguswi sana na kifo cha huyu RPC, na wengine hata kudai ingekuwa ni RPC wa Iringa ndio ameuwawa wangekunywa champaigne!

Hii ni dalili kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi na Wananchi umeharibika sana! Polisi wanapaswa kujitahidi sana kurekebisha hili. Sijawahi kuona jeshi la Polisi linalofanikiwa kupambana na uhalifu bila ushirikiano na raia, na kwa Tanzania inaonekana wazi kwamba Polisi wamezorotesha sana uhusiano wao na raia wa Tanzania.
kwangu mm cwz kucktk jamaa mwenyewe alikuwa n demu wa mtu kwani hakujua kuwa mke wa mtu ni sumu akajiandae kuwa kuni za kuchochea wenye dhambi chache
 
kwani walipomkill mwangosi wao walihuzunika?yafe yote cyapendi kama nn, yanaendeshwa kama maroboti cjui huwa wanayafanyia brain wash?
 
Mie hata siku moja sitakaa ati nimsikitikie kamanda Liberatus Barlowa yaani mie niko na raha sana nikisikia ati hawa nao wanauliwa aisee wajameni safi sana,
Ni juzi tu walimuuwa Daud Mwangosi na leo kimeeleweka sasa lipi la ajabu mbona siku zile hata hatujasikia huyo IGP Siad Mwema kusikitika na zaidi ya yote aliongea pumba wakati alivyoenda kule kwenye tukioa la kuawa kwa Daud Mwangosi hapa napata kitu baridiiiiiiii kama roho ipendavyo huyu huyu si juzi tu kasema ati yule afisa uhamiaji kaingia kwenye anga na akaongeza kuwa wao hawalembi kwa majambazi ni bullet tu so yu wapi leo hii,wale jamaa waliompa Bullet their are Heroes big up.Nasubiria siku Michael Kamuhanda kamanda wa Iringi akidondoka hata kwa maralia nitafanya party.

Watu wamemsomea dua Bin Laden itakuwa huyo Barlow?

Posts kama hizi zinaonyesha upungufu wa ubinadamu. Maisha ya binadamu, hata awe mbaya, yanapoisha yanasikitisha kwa kuwa hatujui angepata nafasi kuishi zaidi angejirudi vipi.
 
Duh!! Tuombe tu hizi hisia ziwafikie walengwa, labda itasidia kutafakari. Inanikumbusha siku mzee wa watu Ditopile alipofariki, nilishuhudia madereva wa daladala wakishangilia pale Mwenge. Naona kuna tatizo kubwa hapa. Mahusiano ya raia na viongozi si mazuri.
 
Kwa vyovyote vile mtu kuuawa bila kosa haikubaliki. Hisia za jino kwa jino si nzuri kwa mustakabali wa nchi.Kwa tunaomfahamu RPC Barlo alikuwa ni mtu wa watu na aliipenda familia yake na hakuwa na ugomvi na mtu. Hakuwa mtu wa mambo yasiyofaa katika jamii. Halafu tupigane na mfumo badala ya kulaumu mtu mmoja mmoja.


Kuipenda familia yake sisi haituhusu kama wewe huipendi ya kwako shauri yako,maana sidhani kama kuna mtu mwenye kuichukia familia yake,hivi ulimuona alivyokuwa akielezea kwa dharau na majigambo tukuio la wabunge wa cdm kucharangwa mapanga na kutishia kwenda kuwapiga pingu wakingari wodini kuwa wao ndiyo chanzo kupitia kwa RCO wake.Acha afe. Rest In Fire Barlow
 
Ni matumaini yangu kuwa hizi hisia zinazoandikwa humu ndani, kwa namna moja au nyingine zitamfikia JK, Waziri mambo ya ndani, Mkuu wa Polisi, na CCM kwa ujumla!
 
Hata mtoto wangu naye jana kaniambia, baba polisi si huwa wanaua leo kuna police kauawa sasa nani kamuua?
 
Katika maongezi yangu na watu na usomaji wangu juu ya kifo cha RPC Mwanza, nimeshituka kugundua kwamba Watanzania wengi hatuguswi sana na kifo cha huyu RPC, na wengine hata kudai ingekuwa ni RPC wa Iringa ndio ameuwawa wangekunywa champaigne!

Hii ni dalili kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi na Wananchi umeharibika sana! Polisi wanapaswa kujitahidi sana kurekebisha hili. Sijawahi kuona jeshi la Polisi linalofanikiwa kupambana na uhalifu bila ushirikiano na raia, na kwa Tanzania inaonekana wazi kwamba Polisi wamezorotesha sana uhusiano wao na raia wa Tanzania.

tafuta nyuzi zinazojenga au kuleta suluhisho na si zenye kuamsha na kuongeza mipasuko.
 
Katika maongezi yangu na watu na usomaji wangu juu ya kifo cha RPC Mwanza, nimeshituka kugundua kwamba Watanzania wengi hatuguswi sana na kifo cha huyu RPC, na wengine hata kudai ingekuwa ni RPC wa Iringa ndio ameuwawa wangekunywa champaigne!

Hii ni dalili kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi na Wananchi umeharibika sana! Polisi wanapaswa kujitahidi sana kurekebisha hili. Sijawahi kuona jeshi la Polisi linalofanikiwa kupambana na uhalifu bila ushirikiano na raia, na kwa Tanzania inaonekana wazi kwamba Polisi wamezorotesha sana uhusiano wao na raia wa Tanzania.
Kauawa lini?maana mie niko busy kuusaka mkate kwa ajiri ya familia yangu,so I don't know anything offcourse lol
 
mapolisi ni janga la kitaifa, matraffick ndio usiseme, wanakula rushwaaaaaa sijawahi kuona. yaani hawafai hata kuitwa binadamu, NAWACHUKIAAAAAA! wale wa mikoani sasa hivi msimu wao wa kuneemeka unakaribia, kipindi cha mavuno chaja, wanakukamata na kukuuliza kwann mtoto analia sana, ni kosa na faini ni 30,000. nayachukiaaaaaaaa mapolisi na matraffick yoteeeeee, yafe tu kwa kweli!
Ni kweli jamaa wanakera sana. Wamefanya speed limit kuwa chanzo chao cha mapato. Hata umezidisha 5 tu watakushupalia utadhani umemaliza speed meter. I hate them!
 
Kwa vyovyote vile mtu kuuawa bila kosa haikubaliki. Hisia za jino kwa jino si nzuri kwa mustakabali wa nchi. Kwa tunaomfahamu RPC Barlo alikuwa ni mtu wa watu na aliipenda familia yake na hakuwa na ugomvi na mtu. Hakuwa mtu wa mambo yasiyofaa katika jamii. Halafu tupigane na mfumo badala ya kulaumu mtu mmoja mmoja.

ingawaje siwapendi polisi lakini kifo cha baro kimenitoa machozi. utawezaje kumtoa UHAI binadamu mwenzako ili baadae ufaidike nini. sawa, leo utamuua fulani kwa faida zako binafsi lakini jamani KUUA WATU NI VITA DHIDI YA MAENDELEO. Tupendane jamani na tuombane msamaha pale kwenye ugomvi kwasababu mungu ndo anavyotaka tuishi. PENDA NA UHESHIMU UHAI lakini PAMBANA NA ZUIA KIFO!!
 
Polisi wa tanzania walilelelwa kukulazimisha wewe ufuate amri za kijinga za ujamaa na kujitegemea tuu na wala siyo kulinda maisha yako. mpaka leo, polisi wengi hawajui kabisaaa wajibu wao kwa raia. Mimi hapa tegeta mwaka juzi nikwenda harusini harusini juumamosi, niliporudi tuu nikakuta mlango umevunjwa na kwenda ndani vyakula vyote vya jikoni kuibiwa . Yaani shrimp, supegeti,nyama ya mbuzi na ya kuku pamoja na stereo music. wala sikuhangaika kuripoti polisi, maana najua polisi wangeniomba rushwa na kutaka niwape usafiri. nilikwenda kawe tuu kwa mzee kisikio, yeyey alinitoza shilingi 5000.00 na kunipa majina ya wote walikuja kuiba kwangu na kuniambia niongeze 1000.00 il nirudishiwe music stereo yangu. Huyu mzee ni mtunza wezi na anawalipa , hivyo nikampatiea chake music stereo yangu ikarudishwa. nikaona ni bora niumie hivi kuliko kutoa rushwa polisi/
 
naomba iingie kwenye records, sawa sawa, kabla ya kifo cha mwandishi mwangosi, likuwa very optimist kuwa jeshi la polisi pengine litajirudi na kuacha mzaha na maisha ya watanzania, lakini baada ya kifo kile cha aibu na chenye kuogofya cha mwandishi mwangosi na majibu ya kejeli ya polisi na serikali, mimi na familia yangu tumesema liwalo na liwe sitenda hata kwenye msiba wa polisi yeyote, na wala sihudhuniki na vifo vyao. Mke wa mwangosi anabeba leo Mzigo mkubwa kama Mjane halafu RPC Kamuhanda anadunda mtaani na watawala wapo kimya, haki ya kuishi haiwezi kutolewaq kama privellege kwa baadhi ya watu , no. Hivyo basi jana nzima nakula bia siku nzima kwa kilichotokea na ikiwezekana matukio hayo yaendelee tu kwa wa iringa na wenzake. SIWEZI KUWA MNAFIKI KUSIKITISHWA NA KIFO CHA POLISI WAKATI WAO WANAUA WATU WASIOKUWA NA SILAHA, KAMA UNASIKITIKA , SIKITIKA MWENYEWE HUKO, MAISHA YA MWANGOSI YALIKUWA NA THAMANI PIA , SIO YA LIBERATUS PEKE YAKE, NIONGEZE HEINEKEN BARIDI TAFADHALI.

KAKA UJUMBE WAKO MZURI, AIWISH NINGEKUJOIN JAPO UKANIRUSHIA KACASTLE KA BARIDI NAMI NIKASHEREHEKA WAUAJI NAO WAKIUWAWA, Ti ti ti
 
Wewe inaelekea ni polisi maana hutaki upuuzi wa kila aina walio nao polisi uongelewe.Kurekebishana katika jamii ni wajibu,hasa wenzetu wanapofikia kiwango cha kukengeuka jeshi letu la polisi lilipofikia. polisiwapolsi
tafuta nyuzi zinazojenga au kuleta suluhisho na si zenye kuamsha na kuongeza mipasuko.
 
Naomba huu uwe ni mwanzo tu, hata hivyo tumechelewa, tungetakiwa kuanza mapema, na siyo polisi tu hata wale wanaoogopwa na JK na serikali yake na kukumbatiwa nao please include them on the . H awawezi kutuheshimu kwa maneno tu, wanaua ndugu zetu kama mainzi, na hawafanywi lolote, maliza maliza maliza mpaka watu waogope kuingia hiyo kazi kama ilivyokua afghanistan
 
Back
Top Bottom