Neenda kituoni kwenye dawati la police na jamii issue kama ni kweli itashugurikiwa haraka ataitwa na atahojiwa, kama wote mlikua kwenye dili hakakuruka usipoteze mda.Ni tumaini langu wote hamjambo.
Nina shida na namba ya RPC Mwanza. Kwa yeyote anayeweza kunisaidia,natanguliza shukrani. Au kama kuna mtu anaelewa,ni kitengo gani cha kushughulikia askali Police tapeli!
Asante mkuu. Sipo Mwanza,ndo sababu ya kuomba namba. Kuniruka hawezi,kwa sababu badhi ya ushahidi ninao still.Neenda kituoni kwenye dawati la police na jamii issue kama ni kweli itashugurikiwa haraka ataitwa na atahojiwa, kama wote mlikua kwenye dili hakakuruka usipoteze mda.
Hii issue nimepitia kwa wenzake,na kweli wanamkingia kifua. Ila kwa viongozi nahisi huo ujinga hawafagiliiPolisi wanalindana wewe
Wee jaribu kumalizana naye kivyako
Ova