S Soda Member Nov 2, 2010 17 0 Nov 3, 2010 #63 Millioni 800 nyingi sana na gari Huu ni upuuzi kama huna mada kaa kimya usidanganye watu acha upuuzi
Amigo Senior Member Mar 7, 2009 150 3 Nov 3, 2010 #64 Pwani si mdebwedo kanda ya Ziwa ni Noma ukizingua ni balaa ukileta dharau wana kutupia mbali. Ndibalema said: Arusha, Mara na Mbeya ni mikoa ambayo nina iaminia sana kwa misimamo. Click to expand...
Pwani si mdebwedo kanda ya Ziwa ni Noma ukizingua ni balaa ukileta dharau wana kutupia mbali. Ndibalema said: Arusha, Mara na Mbeya ni mikoa ambayo nina iaminia sana kwa misimamo. Click to expand...