Taarifa zisizo rasmi zinasema JK alikuja Mza kujalibu ku'rescue' situation, na moja ya mbinu mbovu iliyotumiwa baada ya zote kugonga mwamba ilikuwa akubali kupokea kiasi hicho ili JK atimize azma yake ya kumapisha Masha kwa mara nyingine tena kama alivyoahidi kwenye ufunguzi wa campaign! Bwana mdogo Wenje aliwajibu kuwa waende kuwapa kiasi hicho wananchi waliokuwa na hasira nnje ya fenci, wakikubali, basi yeye angeachia jimbo hilo. Wakati huohuo, wapiga kura walikuwa wameahidi kuwa endapo Wenje angekubali hongo basi angekuwa nyama yao na kwa kuanzia wangeimaliza familia yake!
Na baada ya tafrani kuanza, mpango ulikuwa kuteketeza jiji la Mza kwa kulipua vituo vya mafuta vilivyopo jijini kitu kilichowafanya jeshi la polisi kushinikiza kutangazwa kwa matokeo!
Can u imagine, how far can ccm go to ensure it remain in power! ccm is :evil::evil::evil::evil:
Huu ndio uchaguzi wa kidemokrasia tanzania. Hongera kikwete, hongera ccm.
Taarifa zisizo rasmi zinasema JK alikuja Mza kujalibu ku'rescue' situation, na moja ya mbinu mbovu iliyotumiwa baada ya zote kugonga mwamba ilikuwa akubali kupokea kiasi hicho ili JK atimize azma yake ya kumapisha Masha kwa mara nyingine tena kama alivyoahidi kwenye ufunguzi wa campaign! Bwana mdogo Wenje aliwajibu kuwa waende kuwapa kiasi hicho wananchi waliokuwa na hasira nnje ya fenci, wakikubali, basi yeye angeachia jimbo hilo. Wakati huohuo, wapiga kura walikuwa wameahidi kuwa endapo Wenje angekubali hongo basi angekuwa nyama yao na kwa kuanzia wangeimaliza familia yake!
Na baada ya tafrani kuanza, mpango ulikuwa kuteketeza jiji la Mza kwa kulipua vituo vya mafuta vilivyopo jijini kitu kilichowafanya jeshi la polisi kushinikiza kutangazwa kwa matokeo!
Can u imagine, how far can ccm go to ensure it remain in power! ccm is :evil::evil::evil::evil:
kuchakachua uraisi hata waangalizi hawajafurahishwa kabisa. Fuatilieni muone yule mzee wa nec anavyotoa matokeo. Ukiuliza matokea ya majimbo megine utasikia matokea hayajatufikia, vipi mbona majimbo wanayotangazwa ccm kushinda matokeo ya uraisi yakuwaje yamewafikia. Ni dhana potofu kufikiri kuwa watanzania ni wapumbavu!
JK na kundi lake wawe na utu, milioni 800 ni nini? kuuza utu wako na wananchi waliokuchagua? ukiangalia kwa ukaribu kama mbunge akifanya kazi yake vizuri na kuwatumikia wananchi hayo marupurupu kwenye miaka 5 au 10 ni zaidi ya hiyo hela.