Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
wadau wangu wa elimu ya tanzania nimekuwa nikipokea maoni mengi ya vijana wengi waliomaliza form six wananiuliza
ni kozi gani nzuli inalipa na wengine wakiniuliza nikasome kozi gani ila swali langu ni kwamba inakuwaje mtu anamaliza form six hajui akasome kozi gani
ni kozi gani nzuli inalipa na wengine wakiniuliza nikasome kozi gani ila swali langu ni kwamba inakuwaje mtu anamaliza form six hajui akasome kozi gani