Inakuwaje lakini mabinti kudanganyika wasijifunze kwa wengine?

Dayyym...najaribu nashindwa!Ngoja nikupe picha....chora nane alafu kiziro cha chini kiwe kikubwa karibu mara mbili ya chajuu!


mhhhh
in that case.....
ile nyumba yangu ya masaki.....labda itakufaa...
but mbona kama siamini...
 
mhhhh
in that case.....
ile nyumba yangu ya masaki.....labda itakufaa...
but mbona kama siamini...

Ukidanganywa unaamini ukiambiwa ukweli unakua na wasiwasi....?It is what it is...we jiandae kutoa funguo hizo!
 
Kuna hili swali linanisumbua sana kichwani mwangu:

Hivi inakuwaje msichana anaweza kutoka kuongea na shoga yake kuhusu habari za msichana mwenzao ambaye amepewa ujauzito na lijamaa tu la mtaani ambalo halina mbele wala nyuma kimaisha, na yeye baada ya mazungumzo hayo akaenda kufanya vivyo hivyo. Unaweza kukuta ni mwanafunzi wa shule, akaenda kufanya ngono na kuambulia ujauzito na kijana wa mtaani ambaye hana nia wala uwezo wa kumuoa? Inakuwaje mambo haya jamani, kwa nini asijifunze?
na hii inanifanya niamini kuwa ni kwel WANAWAKE WANA AKILI YA KUVUKIA BARABARA.
 
na hii inanifanya niamini kuwa ni kwel WANAWAKE WANA AKILI YA KUVUKIA BARABARA.

Loh!Yani hata mama Mwanakili nae hivyo hivyo?Nasikitika kweli kuona dharau za aina hiyo zikielekezwa kwa mama ...wenzi na dada zenu.
 
Loh!Yani hata mama Mwanakili nae hivyo hivyo?Nasikitika kweli kuona dharau za aina hiyo zikielekezwa kwa mama ...wenzi na dada zenu.
ni kweli ila mama angu umemuweka hapo ni sawa ila kwa vile kanizaa inakua vigum kumjumuhisha
 
kwan wewe bwana tripojo tangu utotoni si unafundishwa amri kumi za Mungu lakini unaweza kushika hata tatu?...so shetani huyo huyo anayekukwaza ndiye anayemzeveza binti mwisho wa siku huwa ni majuto
 
Back
Top Bottom